MPANGO KAZI WA WILAYA YA HAI KWA MWAKA 2012

Posted by MK On 03:36 No comments


TAARIFA YA MIKAKATI WILAYA KUWEZA KUJITOSHELEZA KWA CHAKULA - HAI

1.0 UTANGULIZI:

1.1    Umbile la ardhi na hali ya hewa
Wilaya imegawanyika katika Kanda kuu tatu (3) za kijiografia ambazo pia huleta mgawanyiko wa kiuchumi kwa wananchi wake.  Kanda hizi ni:-

Ukanda wa Tambarare
Ukanda huu uko chini ya meta 900 juu ya usawa wa bahari.  Hupata mvua za wastani wa kiasi cha mm. 700 kwa mwaka .  Hali ya Hewa ni joto wakati wa kiangazi.Mazao yanayolimwa katika ukanda huu ni mpunga, maharagwe, alizeti, mahindi na mbogamboga.Mifugo inayopatikana ni mbuzi wa kienyeji, kuku wa kienyeji, ng’ombe wakienyeji na kondoo.

Ukanda wa Kati.
Uko kati ya meta 900 – 1,350 juu ya usawa wa bahari.  Mvua ni za wastani wa kiasi cha mm. 750- 1,250 kwa mwaka.  Hali ya hewa ni ya vuguvugu wakati wa kiangazi. Kilimo cha kahawa, migomba, mahindi na ufugaji wa ng’ombe wa maziwa, kuku,mbuzi, kondoo na nguruwe hufanyika.

Ukanda wa Juu.
Uko kati ya meta 1350 na 1,700 juu ya usawa wa bahari.  Mvua ni za wastani wa kiasi kati ya mm. 1,250 – 1,750 kwa mwaka na muda mwingi ukanda huu ni wa baridi.Shughuli kuu ni kilimo cha kahawa, migomba, mahindi, ufugaji wa ng’ombe wa maziwa, mbuzi wa maziwa, kuku na nguruwe.

Mvua za masika huanza Machi hadi Juni na mvua za vuli huanzia Novemba hadi Desemba.Kwa miaka mizuri zinapatika mvua za kipimo cha mm. 500 ukanda wa tambarare hadi mm. 2,000 ukanda wa juu.Mazao mengi hulimwa wakati wa mvua za masika. Katika msimu wa vuli maeneo ya ukanda wa juu hulimwa maharage, njegere, na mahindi kidogo.Katika ukanda wa juu na kati mvua za vuli ni muhimu kwa kilimo cha kahawa na ndizi.

1.2   Matumizi ya ardhi
Matumizi ya ardhi ya Wilaya hii, yamegawanyika katika sehemu kuu nne, kama ifuatavyo:
1.      Hekta 46,506 (46%) zinafaa kwa kilimo.
2.      Hekta 14,154 (14%) ni eneo la misitu
3.      Hekta 13,143 (13%) ni eneo la miamba na
4.      Hekta 27,297 (27%) ni eneo lifaalo kwa malisho ya mifugo.


1.2.1  Mazao
Kilimo ni shughuli kuu ambayo inatoa ajira kwa asilimia 80 ya wakazi wote wenye uwezo wa kufanya kazi.
Uchumi wa Wilaya ya Hai hutegemea kilimo na mifugo asilimia 85.

i) Mazao ya chakula
Mazao makuu yanayolimwa kwa ajili ya chakila ni mahindi, maharage, ndizi, alizeti, mboga mboga, ,mihogo na mpunga, .Mazao haya hulimwa katika misimu 3 ya kilimo ambayo ni vuli, masika na umwagiliaji.

Katika miaka yenye mvua za kutosha Wilaya hii hujitosheleza kwa chakula na kuwa na ziada. Miaka ya ukame kunakuwepo na upungufu wa chakula kama ilivyokuwa mwaka 2002/2003 hadi 2004/2005 na mwaka uliopita wa 2010/11 ambapo ukame ulikuwa wa muda mrefu, hivyo kusababisha upungufu mkubwa wa chakula hadi kuipasa Wilaya kuomba kupatiwa chakula cha msaada kutoka serikalini. Aidha katika msimu wa kilimo 2011/12 mvua zilizonyesha zilichelewa kuanza kunyesha na ziliponyesha zilikuwa kidogo na zisizo na  mtawanyiko mzuri. Hali hiyo ya mvua na  kipindi kirefu cha ukame vimeathiri kwa kiwango kikubwa sana uzalishaji wa mazao ya mahindi, maharage, alizeti na mpunga haswa katika ukanda wa kati na tambarare.

Jedwali  Na 1: Uzalishaji wa mazao ya chakula kwa miaka mitano na matarajio ya mwaka 2011/12

ZAO/TANI
2006/07
2007/08
2008/09
2009/10
2010/11
2011/12
Mahindi
22,477
92,662
2,200
92,300
6,239
25,680
Maharage
4,635
18,700
5,400
15,000
24,300
9,800
Ndizi
132,500
135,000
135,000
148,000
154,000
148,000
Mpunga
12,500
13,950
12,600
14,250
13,920
13,920
Alizeti
600
700
60
620
233
233
Kahawa
1,543
2,568
2,061
1,150
1,069
1,069


ii) Mazao ya Biashara
Zao kuu la biashara ni kahawa ambapo Wilaya ya Hai ina jumla ya hekta 12,655 za kahawa katika mashamba makubwa nawakulima wadogowadogo .

Katika juhudi za kufufua zao la kahawa wakulima, Halmashauri ya Wilaya na kituo cha uatafiti wa kahawa TACRI wameshirikiana katika juhudi za kukuza na kusambaza miche bora ya kahawa inayostahimili magonjwa ya chulebuni na kutu ya majani. Kuna bustani 63  zenye jumla ya miche mama 26,206 hapa wilayani inayotegemewa kutoa miche bora ya kahawa kati ya 522,120 na 1,0144,240 kwa mwaka.Nia ya wilaya ni kuendeleza zao hili kuu la bishara ili mkulima aweze kupata kipato zaidi kitakachomsaidia katika kukimu maisha yake katika ujumla wote.
Uzalishaji wa zao la kahawa kwa miaka ya karibuni ni kama ifuatavyo:

2007/2008                           tani 2,568.3
2008/2009                           tani 2,061.3
2009/2010                           tani 1,150.4
2010/2011                           tani 1.069.6
Changamoto:
  • Bei ndogo kwa mkulima
  • Gharama kubwa za uzalishaji
  • Vijana wengi kutokupenda kujihusisha na uzalishaji wa zao la kahawa, hivyo mashamba mengi kuachiwa wazee.
1.2.2        Mifugo
Wilaya ya Hai ni miongoni mwa Wilaya zenye wafugaji wengi hapa mkoani. Wilaya inakisiwa kuwa na idadi ya mifugo kama ilivyoonyeshwa hapa chini.Ng’ombe wa kisasa kwa ajili ya maziwa hufugwa sehemu za ukanda wa juu na wa kati.Ng’ombe wa asili hufugwa ukanda wa tambarare.Hawa hutoa maziwa na nyama kidogo kwani ni wa ukosaafu duni.

Jedwali Na. 3: Idadi ya Mifugo

Aina ya mfugo
Idadi
Ng’ombe wa kienyeji
62,453
Ng’ombe wa maziwa
49,655
Mbuzi
70,112
Kondoo
46,962
Kuku
168,573
Nguruwe
8,132

1.2.3        Umwagiliaji :
Wilaya ina eneo la umwagiliaji la hekta 27,406.Kwa mwaka 2010/11 eneo lillilomwagiliwa ni hekta 13,17.Jumla ya tani 12,459 za mpunga na tani  18,670 za mboga za aina mbalimbali zilivunwa mwaka 2010/11. Wilaya imeweka mikakati ya kuendelea kukarabati miundo mbinu ya umwagiliaji ili eneo kubwa zaidi liweze kumwagiliwa na kuongeza upatikanaji wa chakula kwa watu wananchi.

Baada ya kuchambua hali ya kilimo na ufugaji katika miaka ya hivi karibuni na kuanisha sababu mbalimbali zinazo sababisha uzalishaji mdogo wa mazao ya chakula,biashara na mifugo na mazao yake, Wilaya imeandaa mikakati mbalimbali  ili kuhakikisha kuwa uzalishaji katika kilimo na mifugo unakuwa wa kisasa na wenye tija ili wilaya ijitosheleze kwa chakula na kuwa ziada ambayo wakulima wanaweza kuuza kujiongezea kipato kitakachowawezesha kuboresha maisha yao.

MKAKATI WA UTEKELEZAJI WA VIPAUMBELE VYA
HALMASHAURI KUFIKIA 2015

Halmashauri ya Wilaya ya Hai ina kata 14 ambazo zimeanzishwa ili kurahisisha utendaji na utekelezaji wa majukumu yake

 ELIMU MSINGI MWAKA 2012/13 HADI MWAKA 2015
Halmashauri  inazo shule 119 za msingi kati ya hizo shule 104 ni za Serikali na 15 za binafsi.Jumla ya wanafunzi katika shule za binafsi na serikali na kwa pamoja ni  35,343  ambapo wavulana  ni 17,866na wasichana 17,477. yapo   madarasa 33 ya Elimu ya Awali   katika shule za serikali na madarasa 16 katika shule binafsi. Katika madarasa hayo ya awali  kuna jumla ya wanafunzi 4,603  wakiwemo  wavulana 2,401 na wasichana 2,202.

Vipo  vituo 6 vinavyojumuisha walimu pamoja  ili kuwajengea uwezo na kukabiliana na changamoto zinazowakabili katika ufundishaji.

UANDIKISHAJI:
Mwaka 2012 tulitarajia kuandikisha jumla ya watoto wenye umri wa miaka saba  4,730 kuanza darasa la  kwanza. Hadi kufikia tarehe 1/3/2012 walioandikishwa ni 4,571wakiwemo wavulana 2,316 na wasichana  2,255.  Kati yao wanafunzi  wenye  umri  wa miaka nane hadi 10   ni  711 wakiwemo wavulana 388 na wasichana 323. Asilimia ya uandikishaji ya wanafunzi wenye miaka saba  ni sawa 96.63%.

MAENDELELEO YA TAALUMA
Kwa upande wa elimu ya msingi kiwango cha ufundishaji kimekuwa kikiongezeka siku hadi siku ambapo kwa sasa uwiano wa Mwalimu na mwanafunzi umefikia  1:48 na uwiano wa kitabu na mwanafunzi ni 1:4.  Hali hii imechangia kuinua kiwango cha ufaulu katika mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi kama jedwali lifuatalo linavyoonesha:-

 UFAULU WA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA (PSLE 2007 – 2011) 
MWAKA
WALIOFANYA
WALIOFAULU
% YA UFAULU
WALIOCHAGULIWA

WAV
WAS
JML
WAV
WAS
JML
%
WAV
WAS
JML
%
2007
2423
2399
4822
1083
1267
2350
48.73
1083
1267
2350
100
2008
2980
3092
6072
1547
1844
3391
55.84
1547
1844
3391
100
2009
2955
2904
5859
1723
1844
3567
62.8
1723
1844
3567
100
2010
2758
2743
5501
1923
2124
4053
74.5
1929
2124
4053
100
2011
2568
2568
5136
1902
2100
4002
79
1902
2100
4002
100
Kwa mwaka 2011  wilaya imeshika nafasi ya tatu kimkoa.

 WALIMU YA ELIMU YA MSINGI
Kwa mwaka 2012 idadi ya walimu ni kama ifuatavyo:

DARAJA
WANAUME
WANAWAKE
JUMLA
III B/C
2
17
19
IIIA
230
841
1071
STASHADA
1
3
4
SHAHADA
1
5
6
JUMLA
234
866
1,100


MAHITAJI YA WALIMU KWA DARAJA LA IIIA:
MAHITAJI
WALIOPO
UPUNGUFU
% YA UPUNGUFU
1,308
1,100
208
15.9 %


   MIUNDO MBINU NA SAMANI
S/Na
Aina
Mahitaji
Yaliyopo
Upungufu
% ya Upungufu
1
Vyumba vya Madarasa
969
780
189
19.5
2
Nyumba za Walimu
999
129
870
87.8
3
Matundu ya vyoo (Wav)
660
611
49
7.4
4
Matundu ya vyoo (Was)
807
607
200
24.7
5
Ofisi za Walimu Wakuu
104
88
16
15.3
6
Ofisi za  Walimu
104
85
19
18.2
7
Stoo
208
115
93
44.7
8
Madawati (Two seater)
14,077
12,824
1,253
8.9
9
Meza
1,984
1,179
805
40.5
10
Viti
1,984
1,392
592
29.8
11
Kabati
2,548
693
1,855
72.8
12
Matanki ya Maji
104
30
74
71.1
13
Jiko
104
56
48
46.1

ELIMU YA SEKONDARI
Zipo  Shule 29 za Sekondari za Serikali kati yake 2  ni za Kidato tano na sita.  Sekondari   15 ni  za Binafsi  kati yake  7zina  kidato cha tano na sita.

IDADI YA WANAFUNZI
Kuna  jumla ya wanafunzi 12,761 katika shule za sekondari, wavulana 6,294 na Wasichana 6,467. Shule za sekondari za Binafsi zina jumla ya wanafunzi 3,336 wakiwemo wavulana 1,362na Wasichana 1,974.

 WALIMU.
Wapo jumla ya walimu 480 wanaofundisha katika shule za Sekondari za Serikali, ambapo walimu 260 ni wanaume na walimu 220 ni wanawake.
MAENDELEO YA TAALUMA.
Huu ni mwaka wa tatu  tangu idara ya Elimu Sekondari ya Sekondari kugatuliwa na kuhamishiwa katika mamlaka ya Serikali za Mitaa, Kwa kipindi hicho cha miaka mitatu hali halisi ya maendeleo ya kitaaluma ni kama inavyoonekana katika jedwali:

UFAULU WA KIDATO CHA NNE MWAKA 2009 HADI 2011

NA

MWAKA
WANAFUNZI

%
WALIOFANYA
WALIOFAULU
%
WALIOSHINDWA
1
2009
2010
1602
79.7
408
20.3
2
2010
3346
1616
48.3
1730
51.7
3
2011
2623
1784
68.0
839
32.0

UFAULU WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2012 HADI MWAKA 2011.

NA
MWAKA
WALIOFANYA
WALIOFAULU
%
WALIOSHINDWA
%
1
2010
670
644
96.1
27
3.9
2
2011
550
538
97.8
12
2.2
3
2012
726
688
94.5
40
5.2

UJENZI WA SHULE ZA KIDATO CHA TANO NA SITA.
Halmashauri ya Wilaya ya Hai ina  Shule 2 tu za Serikali za Kidato cha 5 na 6 ambazo ni Lyamungo kwa ajili ya wavulana  na Sekondari ya Machame kwa ajili ya Wasichana.
           
Halmashauri ya Wilaya ya Hai inaendeleza Upanuzi wa shule 5 za Sekondari za Serikali ili ziwe na nafasi za kidato cha 5 na 6 za kutosha katika shule hizo ni:
 1. Shule ya Sekondari ya Hai day       2. Shule ya Sekondari Lemira        3. Shule ya Sekondari Nkokashu   4. Shule  ya Sekondari Lyasikika          5. Shule ya Sekondari Harambee
Ujenzi unafanywa naWilaya ikishirikisha michango ya wananchi na ujenzi upo katika hatua mbalimbaliikitanguliwa na Haiday ambayo madarasa yake yamefikia hatua ya ‘finishing’ na Hosteli mbili  zimeshakamilika.

 MIUNDO MBINU YA SHULE
Na
Aina
Mahitaji
Yaliyomo
upungufu
1
Vyumba vya madarasa
319
290
29
2
Nyumba za walimu
350
82
268
3
Matundu vya vyoo
551
420
131
4
Madawati
12761
11142
1619
5
Majengo ya utawala
29
5
24
6
Mkataba
29
2
27
7
Maabara
78
8
70

 AJIRA KWA VIJANA

Kwa mujibu wa tamko la sera ya maendeleo ya vijana ya mwaka 2007,  nchini Tanzania fasili ya vijana ni wanaume na wanawake kuanzia umri wa miaka 15 hadi 35. Hata hivyo fasili ya vijana kwa ujumla  inatofautiana kulingana na malengo maalum kama vile ndoa (sheria ya ndoa ya 1971) ambayo inahusu kijana wa miaka 15 kuoa au kuolewa, haki ya kupiga kura, masuala ya ajira na makosa ya jinai.

Katika milenia hii ya sayansi na teknolojia, vijana wa kiume na kike ni raslimali kubwa zaidi kwa sasa na siku za baadae.  Vijana wanatoa msukumo mkubwa wa kuleta mageuzi ya kijamii na kiuchumi, kisiasa na katika eneo lenye mabadiliko ya haraka duniani.

Maendeleo yetu ya kijamii yanategemea, pamoja na vitu vingine, ni kwa jinsi gani tunawahusisha vijana katika kuyajenga maisha yao ya baadaye.  Hivyo ni muhimu kuwaandaa vijana hawa kama viongozi, watoa maamuzi, wajasiriamali, wazazi na walezi kwa sababu wana nafasi muhimu ya kuchukua katika maendeleo ya jamii na uchumi wa taifa letu.

Dira ya maendeleo ya vijana Wilaya ya Hai ni kuwa na vijana walio na uwezo wenye ari ya kutosha wenye kuwajibika na kushiriki kikamilifu katika Nyanja zote za kijamii, kisiasa na kiuchumi kwa maendeleo ya jamii.

Dhamira yetu ni kuweka mazingira yanayowezesha kujenga uwezo wa vijana na kukuza nafasi za ajira na kupata huduma ya hifadhi ya jamii kwa lengo  uwezo,  kuwaongoza ili waweze kushirikiana na wadau wengine katika utekelezaji wa masuala ya maendeleo ya vijana.
Kwa mujibu wa sensa ya watu ya mwaka 2002,wilaya ya Hai ina jumla ya vijana 169,847
Kazi wanazofanya vijana wa Hai hutofautiana ambazo ni pamoja na;Useremala,Uashi,Uchomeleaji,Kilimo cha mbogamboga,ushonaji,vioski,bodaboda bajaji,kilimo cha mahindi na maharage,kuosha magari na biashara ndogondogo za kutembeza bidhaa mitaani.
Vijana walioajiriwa kwenye sekta binafsi ni 71,126,vijana waliojiajiri wenyewe ni 89,039 na vijana walioajiriwa katika sekta rasmi ni 9,682.
Vijana wengi wanapata ajira katika mashirika na taasisi mbalimbali zilizopo hapa wilayani,mashirika na watu binafsi kama;
 ( i).   Mashamba ya kahawa kwa kazi ya uvunaji wa kahawa 
  (ii).  Mashamba ya maua kwa kazi ya kuchuma na kufungasha
  (iii). Mashamba ya vyama vya ushirika kwa kubuna mahindi na     
         kahawa
 (iv).Mashirika na taasisi za watu binafsi kama vile  hospitali,zahanati,maduka ya                                           
      dawa,migodi ya mchanga na mawe
Changamoto:
Wilaya ya Hai ina tatizo kubwa la ukosefu wa viwanda ambapo kama maeneo mengine ndiyo chanzo kikubwa cha ajira kwa vijana.Lakini pia ni wilaya ambayo ina uhaba mkubwa wa ardhi.
Vijana wengi wa Hai wanapenda kujiajiri binafsi kuliko kujiunga kwenye vikundi vya ujasiriamali na hii ni kwasababu biashara ama shughuli zao ni za kuhamahama sana kwani wanatafuta kazi mahali popote Tanzania Bara na Visiwani kwa hiyo wanasafiri na kurudi katika wilaya.
Mikakati ya Kuboresha ajira
(i). Kupitia upya mashrika yanayotoa ajira kwa vijana kwa kuona uwezekano wa vijana kuunda umoja 
     wao   katika eneo la kazi ili waanzishe Saccos zao za maeneo ya kazi.
(ii).Kukutana na viongozi wote wa vyama vya msingi vya ushirika vilivyopo wilayani ili waweke mpango wa  
    kutenga mafungu au asilimia fulani katika mapato yao ya mwaka kwa ajili ya kutunisha mfuko mfuko wa   
    maendeleo ya vijana utakaoanzishwa katika kila kata.Mfuko huo utasimamiwa na kamati ya maendeleo 
   ya kata na hatimaye kila kata itafahamu vijana ama vikundi ambavyo vitafaa kupewa misaada kama  
   sehemu ya kuongeza mitaji yao au kuanzisha saccos za kata za vijana.
(iii).Ili vijana wawe na ujuzi katika nyanja mbalimbali kufuatana na fani zao ni vyema vyuo vya VETA 
     vilivyopo wilayani Hai vikawa na mafunzo ya muda mfupi ili vijana wenye uwezo mdogo waweze kujilipia 
     mafunzo hayo wao wenyewe.
(iv).Kila kijiji kifanye harambee ya kuchangia mfuko wa vijana wanaotaka mitaji katika maeneo ya vijijini 
     kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali walioko nje na ndani ya kijiji au kata husika na itaweza kufanyika 
     kila mwaka mara moja  na pia paanzishwe kamati za kusimamia mkakati huo.
    Lengo la mkakati huo ni kuhakikisha tunatoka katika mazoea ya kuchangia fedha nyingi sana katika   
   sherehe za harusi,ubarikio na sendoff na kwenda katika kusaidia maendeleo ya jamii hasa vijana 
   waliopo tayari kujikwamua kiuchumi kwa kuwa mitaji ya kuendesha shughuli mbalimbali
Manufaa ya mkakati huu
Mpango huu ni utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2005-2010 ukurasa wa 96 na 97 kuhusiana na masuala ya vijana ambapo yanaelezwa wazi kuwa vijana wahamasishwe kuanzisha miradi ya kiuchumi kwa kujiunga katika ushirika ikiwa ni pamoja na kuweka na kukopa yaani Saccos na Vicoba
Kadhalika ilani inazungumzia mkakati wa vijana kujiunga na vituo vya ufundi stadi kwa wale watakaokosa nafasi ya kujiunga na masomo ya juu
 MKAKATI WA KUONGEZA UPATIKANAJI WA HUDUMA YA MAJI
Wilaya ya Hai inapata huduma ya maji kupitia skimu 6 za mtiririko zinazohudumia jumla ya wakazi wapatao 62,114 kati ya 197,699 sawa na asilimia 82 katika vijiji 55 kati ya 60. Kamam ilivyoelekezwa katika Sera ya Taifa Maji (2002), Skimu hizi zinamilikiwa, kusimamiwa na kuendeshwa na wananchi wenyewe kupitia Bodi zao za Maji. Bodi hizi zinatokana na Kamati za Maji za Vijiji katika Slimu husika na zinajiendesha zenyewe kwa kukidhi gharama za uendeshaji na matengenezo kutokana na makusanyo ya ankara za maji ambapo kila mteja amefungiwa dira ya maji hivyo kulipia gharama za huduma kulingana na matumizi halisi. Wastani wa makusanyo ya ankara kwa mwaka ni asilimia 98.

Vipaumbele vya Maendeleo vya Halmashauri katika Sekta ya Maji ni kama ilivyelekezwa katika Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi 2011-2015 ambayo ni Kuendelea kutekeleza Sera ya Taifa ya Maji ya Mwaka 2002. Katika utekelezaji wake, vipengele vitatu inafanyiwa kazi hadi 2015 kama ifuatavvyo:

·           Kuwezesha Wananchi Mjini na Vijijini kupata maji safi, Salama na ya kutosha kwa matumizi yao ya kawaida karibu na sehemu wanayoishi na mahitaji ya Ki uchumi kwa kufanikisha huduma hiyo asilimia 90 ya Wakazi wa Mjini na asilimia 65 ya Wakazi Vijijini ifikapo 2010

·           Kushirikisha Wananchi katika hatua za kutoa huduma za Maji kwa kupanga kujenga kuendesha na kumiliki Miradi ya Maji

·           Kuhimiza, kuimarisha na kupanua Teknolojia nyepesi na rahisi ya kukinga , kutunza na kutumia Maji ya Mvua

Mkakati wa Utekelezaji hadi 2015

Halmashauri inashirikiana na Serikali kuu  kwa kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa Sekta ya Maji (WSDP), chini ya  Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RWSSP) ambapo jumla ya vijiji tisa (9) vinatekeleza programu hii kwa awmu tatu. Vijiji vyote vimekamilisha uibuaji wa miradi na utayarishaji wa andiko la mradi. Utekelezaji wa awamu ya kwanza umeanza Juni 2012 kwa vijiji viwili. Wachangiaji katika utekelezaji huu ni Mfuko wa Pamoja wa WSDP, Halmashauri na Jamii ambayo inawajibika kuchangia asilimia 2.5 (2.5%) ya gharama yote mradi pamoja na kushiriki kazi wakati wa utekelezaji. Aidha jamii inatakiwa kuendesha mradi wake kwa kuchangia gharama za uendeshaji na matengenezo.

MKAKATI WA UBORESHAJI MAZINGIRA:

Wilaya  ya Hai ina Hekta 46,506 (46%) zinafaa kwa kilimo, Hekta 27,297 (27%) ni eneo lifaalo kwa malisho ya mifugo,  Hekta 13,143 (13%) ni eneo la miamba na  Hekta 14,154 (14%) ni eneo la misitu, kwa upande mwingine Wilaya ya Hai ina msongamano mkubwa wa makazi ya watu, ongezeko la watu, mashamba (Kilimo) na mifugo. 

Hali hii imepelekea wilaya kuwa na matukio ya uharibifu wa mazingira kutokana na ukataji miti ovyo, Kilimo na ulishaji wa mifugo holela. Wilaya inaendelea kupambana na utunzaji wa mazingira kwa kuotesha miti mingi iwezekanavyo na kuitunza kila mwaka kipindi cha mvua-toshelezi. 

Zoezi linalotekelezwa kwa kuadhimisha wiki ya upandaji miti kila wiki ya kwanza ya mwezi April ya kila mwaka, ili kupanda miti katika Wilaya nzima. Mfano Kwa mwaka 2008/09 Wilaya imefanikiwa kupanda jumla ya miti 1,170,000, 2009/10 imepanda jumla ya miti 1,215,000, 2010/2011 imepanda jumla ya miti 1,112,470. Mwaka  2012 tulimefanikiwa kupanda jumla ya miche 848,245; kutokana na ukosefu wa miche na ukame. Mwaka 2013 wilaya imelenga kupanda miche isiyopungua 1500000.

Wilaya ilitarajia kupanda jumla ya miche 1,500,000 kwa mwaka 2011/12 katika maeneo mbalimbali ya jamii / mtu binafsi, taasisi za umma na zisizo za umma; mashamba makubwa, maeneo ya mito, kingo za mito, matindiga, vyanzo vya maji na maeneo ya miteremko mikali. Wilaya imeweka mkakati madhubuti wa ufuatiliaji wa zoezi la upandaji na utunzaji wa miti kwa karibu zaidi ili kuboresha uwekaji kumbukumbu kuanzia ngazi ya kijiji kwa mwaka huu wa 2011/12.

Katika kuhakikisha ukuaji na ustawi wa mazingira na uoto wa asili, doria za dharura zinafanyika kwa ajili ya kudhibiti uvunaji wa miti usiozingatia sheria na maelekezo yake.

Uharibifu wa mazingira katika Wilaya ya Hai umegawanyika katika maeneo makuu mawili; Eneo la ukanda wa juu na kati na eneo la ukanda wa chini. 

Uharibifu wa mazingira ukanda wa juu na kati unasababishwa na matumizi ya madawa ya kilimo, kilimo kisichozingatia utaalam na ukataji miti ovyo maeneo ya vyanzo vya maji ambao unasababisha maji kupungua kwenye vyanzo.

Ukanda wa chini (tambarare) huathirika sana na ukame na wakazi wake wengi ni wafugaji huria, karibu eneo lote lina mwamba; uoteshaji wa miti hufanyika wakati wa masika tu, hata hivyo miti hiyo huharibiwa au kuliwa na wanyama wanaofugwa na pia uchungaji holela wakati wa kiangazi.

1.1 MPANGO MKAKATI WA UBORESHAJI MAZINGIRA:

Wilaya ya Hai imejiwekea mpango mkakati wa upandaji miti na uhifadhi wa mazingira unaozingatia sera ya misitu  kitaifa na programme maalum ya Mkoa wa Kilimanjaro ya kurejesha uoto wa asili wa mlima Kilimanjaro ya muda mrefu.

Mkazo  utakuwa kwamba “kupanda miti na kuitunza wakati wote ”.

Kuendelea kuhamasisha na kuhimiza suala la upandaji miti katika maeneo yote kama hoja ya kudumu kwa wananchi wa Wilaya ya HAI kama hoja ya kudumu kwa wananchi wa Wilaya ya HAI.

Wilaya itaendelea kupanda miti maeneo mbalimbali, hususan yale ya vyanzo vya maji, makorongo, chemchem za mito, maeneo ya makazi, taasisi  na vilima.

Wilaya itatumia fursa ya kuwepo shule za msingi na sekondari kuanzisha na kukuza uwezo wa kuzalisha miche ya miti itakayokidhi mahitaji na idadi ya miche wakati wa msimu.

Wanafunzi kupanda Miti watakayoweza kumwagilia kwa DRIP.
Kushauri wadau wote kupanda  miti ya asili kwa njia ya miche na vigingi, kila ikiwezekana imwagiliwe ili isitawi.
Kutambua mahitaji ya miche ya miti ya wadau mbalimbali kwa kutumia watendaji wa vijiji kama waratibu wa fomu za kukusanyia takwimu.
Kuendelea kusimamia utekelezaji wa sheria ya mazingira sambamba na zile za kisekta. Aidha sheria ndogo za Halmashauri zitatumika kila inapowezekena kurahisisha kudhibiti uharibifu wa mazingira.

2.0 MIPANGO ILIYOPO YA UTEKELEZAJI
Kwa kuzingatia umuhimu wa zoezi la upandaji miti Wilaya imepanga mipango mbalimbali kuhakikisha miti iliyopandwa inakua na miti inapandwa katika maeneo yote yaliyokusudiwa. Mikakati hiyo ni pamoja na kuendelea kutoa na kufuatilia fomu maalumu ambazo kila mwananchi/Taasisi/Ofisi iliyopatiwa miti ya kupandwa inajaza na kuiwasilisha Wilayani; kwa ajili ya kuunganishwa kupata taarifa rasmi mara msimu utakapomalizika kwa mwaka 2012. Pia Wilaya inatumia vikao vyake kuhamasisha na kuhimiza suala la upandaji miti katika maeneo yote kama hoja ya kudumu kwa wananchi wa Wilaya ya HAI.

Aidha Wilaya inahamasisha uanzishaji wa vitalu vya miti katika maeneo ya watu binafsi na taasisi ili kuhakikisha upatikanaji wa miche ya miti katika msimu ujao wa upandaji miti. Mpaka sasa juhudi za makusudi zinaendelea kufanyika kuwahamasisha wadau mbalimbali kupitia watendaji wa kata, vijiji, mashirika ya dini, mashule na taasisi mbalimbali kuanzisha vitalu vya miche katika maeneo yao. Lengo likiwa ni kuwa na miche mingi ya miti mchanganyiko ya kutosheleza mahitaji ya jamii kwa msimu ujao wa upandaji miti – Oktoba/Novemba, 2012 hadi Machi / April, 2013. Kwa sasa wilaya ina jumla ya vitalu visivyopungua 23 vya bustani ya miche ya miti.

3.0 CHANGAMOTO
Pamoja na mafanikio hayo katika kutekeleza program ya upandaji miti kwa mwaka huu wa 2012 bado kuna changamoto zinazotukabili. Changamoto hizo ni kama ifuatavyo:- 
·         Upatikanaji wa miti kwa taasisi na wananchi. Baadhi ya taasisi na wananchi binafsi wana nia ya kupanda miti katika maeneo yao lakini hawana fedha ya kununulia mbegu na miche ya miti.
·         Uzururaji ovyo wa mifugo hivyo kuhatarisha miti iliyopandwa japo Halmashauri imeendelea kupambana na tatizo hili kwa mujibu wa sheria.

4.0 HATUA ZINAZOCHUKULIWA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZILIZOPO
·         Kuendelea kuhamasisha wananchi kupanda miti kupitia mikutano, sehemu za ibada (misikiti na     makanisa), matamasha mbalimbali na harusi wapande na kutunza.
·         Wananchi wanahamasishwa na kuhimizwa kumwagilia miche yote ya miti iliyopandwa hasa iliyo karibu na makazi yao.
·         Maelekezo yametolewa kwa viongozi wa kata na vijiji juu ya kuweka mkazo wa upandaji miti kwa wingi katika maeneo oevu na vyanzo vya maji.
·         Viongozi wa vijiji wamehimizwa kutumia sheria zilizopo kudhibiti mifugo inayozurura ovyo na / ama kuchungwa huria; na hivyo kusababisisha uharibifu wa miti na mazingira kwa mapana yake, hususan miundo mbinu ya barabara.
·         Aidha wananchi wenye mifugo wamehimizwa kufuga ng’ombe ndani ya eneo la uwezo wa kulisha; wakusanye mabaki ya mazao ya shambani ikiwa ni pamoja na kuwa na majani tembo, Guatemala, seteria na mikunde.

Jedwali I: IDADI YA MITI ILYOPANDWA KUISHIA JUNI  30, 2012

Na
MAENEO YA KUPANDWA
MALENGO
ILIYOPANDWA
1.       
Maeneo ya vyanzo vya maji
9,430
141,832
2.       
Maeneo ya kingo za mito, makorongo na matindiga
9,800
198,750
3.       
Maeneo ya taasisi mbalimbali – ofisi, shule, zahanati, makanisa na misikiti
103,945
96,395
4.       
Maeneo ya wazi
348,325
56,920
5.       
Maeneo ya makazi ya wananchi, viongozi, biashara
221,625
210,292
6.       
Maeneo ya mashamba, vilima na maeneo ya wazi ya kwenye eneo la ½ mail strip
27’450
144,056
              JUMLA
720,575
848,245


MKAKATI YA WLAYA YA ILI KUWEZA KUJITOSHELEZA KWA CHAKULA
NA

KIPAUMBELE

HALI ILIVYO SASA

LENGO/MADHUMUNI

 MAHITAJI YA RASILIMAMALI

MIKAKATI WA KUTEKELEZA
CHANZO CHA RASLIMALI
MUDA WA UTEKELEZAJI

MATOKEO YANAYOTARAJIWA/VIASHIRIA

1.





Kuongeza Uzalishaji wa Mazao ya Msingi ya Chakula kutoka  Tani 241,800 (2011) hadi   Tani  312,800 Ifikapo Juni 30, 2016


















Hekta  na Tani za  Mahindi zilizozalishwa sasa
MWAKA
2011/12
Hekta
23,400
Tani
25,680
Hekta  na Tani za  Mpunga zilizozalishwa sasa
MWAKA
2011/12
Hekta
 5,630
 Tani
13,920

Hekta  na Tani za   Maharage zilizozalishwa sasa
MWAKA
2011/12
Hekta
21,200
Tani
9,800

Hekta  na Tani za  Ndizi zilizozalishwa sasa
MWAKA
2011/12
Hekta
16,600
 Tani
148,000

Wakulima wengi hawana utaalamu wa kusindika mazao yao  ya muda mfupi kama vile nyaya, matunda na mbogamboga ili kuhifadhi kwa muda mrefu
Hekta na Tani za  Mahindi zitakazozalishwa
MWAKA
2015/16
Hekta
       24000
Tani
      90,000

Hekta na Tani za Mpunga zitakazozalishwa
MWAKA
2015/16
Hekta
      6,525
 Tani
      27,800

 Hekta na Tani za  Maharage zitakazozalishwa
MWAKA
2015/16
Hekta
15,000
Tani
20,000

Hekta na Tani za  za Ndizi zitakazozalishwa
MWAKA
2015/ 16
Hekta
17,500
Tani
175,000


Kusindika mazao ya chakula kama vile nyaya, ili yaweze kuhifadhiwa kwa muda mrefu kukabiliana na upungufu wa chakula

Mbegu bora za muda mfupi za mahindi, maharage, mpunga na mbogamboga.

Fedha
DIDF Ths 900,000,000/=





Fedha
 DADPs Tsh 750,000,000/=





Mbegu bora za migomba ya Kisasa
Fedha
Tshs 20,000,000/=




Mtaalamu wa kutoa elimu ya usindikaji, Vifaa vya usindikaji kama vile solar drierna  vigungashio
Kukarabati miundo mbinu ya umwagiliaji na kuhamasisha umwagiliaji ili kuongeza uzalishaji wa mpunga, mahindi maharage na  mboga mboga.









Kuhimiza kilimo bora cha migomba kwa kutumia mbegu bora za kisasa ambazo hukomaa mapema.


Kuhimiza hifadhi ya ardhi mfano kutumia makinga maji .
Kutoa elimu ya kusindika  mazao ili yaweze kuhifadhiwa kwa muda mrefu mfano wa ndizi matunda na aina mbalimbali za mboga.
Jamii, Halmashauri,Serikali kuu,Wadau wa Kilimo kupitia mifuka ya DADPsna DIDF
Miaka 3
Kuongezeka kwa Uzalishaji wa zao la Mahindi toka Tani 1.1    hadi Tani 3.3   kwa Hekta.

Kuongezeka kwa Uzalishaji wa zao la Mpunga toka Tani 2.5  hadi Tani 3.1  kwa Hekta.

Kuongezeka kwa Uzalishaji wa zao la Maharage toka Tani 0.5   hadi Tani 1.3   kwa Hekta.

Kuongezeka kwa Uzalishaji wa zao la  Ndizi toka Tani 8.9   hadi Tani 9.8   kwa Hekta.



Kuongezeka kwa Kiasi cha nyanya, matunda  na mbogamboga  zilizosindikwa kwa mwaka

2..





Kuongeza Uzalishaji wa Mazao ya chakula  yanayostahimili ukame kutoka tani 1800 hadi Tani 5,500 Ifikapo Juni 30, 2016

Hekta  na Tani za  Mhogo zilizozalishwa sasa
MWAKA
2011/12
Hekta
125
Tani
1,750

Hekta  na Tani za  Mtama zilizozalishwa
MWAKA
2011/12
Hekta
200
Tani
50



Hekta na Tani za  Mhogo zitakazozalishwa
MWAKA
2015/16
Hekta
250
Tani
3500
Hekta na Tani za  Mtama zitakazozalishwa
MWAKA
2015/16
Hekta
200
Tani
200



Mbegu za mhogo, mbaazi na mtama,Fedha
Tshs 30,000,000/=

Kuhamasisha Kilimo cha mhogo, mtama, mbaazi na ngwara katika maeneo ya ukanda wa Tambarare.


Jamii, Halmashauri,Serikali kuu,Wadau wa Kilimo
Miaka 3
Kuongezeka kwa eneo le Uzalishaji wa zao la Mhogo toka Ha 125 hadi Ha 250  kwa mwaka.

Kuongezeka kwa Uzalishaji wa zao la Mtama toka Tani 0.25  hadi Tani 10  kwa Hekta.
3
Kuongeza eneo la umwahiliaji  kutoka Ha 17,000 (2011)  mpaka Ha 20,000 Ifikapo Juni 30,1016




Idadi kwa Meta Mifereji iliyokarabatiwa.
MWAKA
2011/12
Mita
      4500
Idadi ya Mifereji iliyojengwa
MWAKA
2011/12
Idadi
6

Idadi ya Makinga Maji yaliyojengwa
MWAKA
2011/2012
Idadi
        2

Uzalishaji wa Zao la Mahindi kwa eneo la Umwagiliaji kwa Hekta.
MWAKA
2011/12
Hekta
750
Tani
3,400

Uzalishaji wa Zao la Mpunga kwa eneo la Umwagiliaji kwa Hekta.
MWAKA
2011/12
Hekta
2,120
 Tani
12,459
Idadi kwa Meta za  Mifereji zitakazokarabatiwa.
MWAKA
2015/16
Mita
4800
Idadi ya Mifereji itakayojengwa
MWAKA
2015/16
Idadi
7

Idadi ya Makinga Maji yatakayojengwa
MWAKA
2015/16
Idadi
            3

Uzalishaji wa Zao la Mahindi kwa eneo la Umwagiliaji kwa Hekta.
MWAKA
2015/16
Hekta
850
Tani
4000

Uzalishaji wa Zao la Mpunga unaotarajiwa kwa eneo la Umwagiliaji kwa Hekta.
MWAKA
2015/16
Hekta
2600
 Tani
8000
Watalamu,
Fedha
DIDF Ths 900,000,000/=


Kukarabati Mifereji ya Asili.



Kujenga Mifereji ya Asili.

Ujenzi wa Makinga Maji


Mafunzo ya uzalishaji wa Mahindi ktk eneo la umwajiliaji


Mafunzo ya uzalishaji wa Mpunga  ktk eneo la umwajiliaji

Jamii, Halmashauri,Serikali kuu,Wadau wa Kilimo
Miaka 3
Idadi kwa Meta Mifereji iliyokarabatiwa.

Idadi ya Mifereji iliyojengwa.

Idadi ya Makinga Maji yaliyojengwa.

Uzalishaji wa Zao la Mahindi kwa eneo la Umwagiliaji kwa Hekta.


Uzalishaji wa Zao la Mpunga kwa eneo la Umwagiliaji kwa Hekta.


4
Kuboresha Huduma za Ugani kutoka Kiwango cha Asilimia 50 (2009)  kufikia asilimia 70  ifikapo Juni 30, 2016
Idadi ya Ziara za Mafunzo zilizofanyika.
MWAKA
2011/12
Idadi
        8
Idadi ya Semina na Washa za Maafisa Ugani zilizofanyika.
MWAKA
2011/12
Idadi
           5



Idadi ya Semina za Muda Mfupi kwa Maafisa Ugani
MWAKA
2011/12
Idadi
          2

Idadi ya waliopata mafunzo ya Muda Mrefu kwa Maafisa Ugani
MWAKA
2011/12
Idadi
           6
Idadi Vitendea kazi k.m Pikipiki na Baiskeli vilivyogawiwa
MWAKA
2011/12
Pikipiki
          4
Baiskeli
          0
Idadi ya Vikundi vya Wakulima vilivyotembelewa
MWAKA
2011/12
Idadi
   250
Idadi ya Ziara za Mafunzo zitakazofanyika.
MWAKA
2015/16
Idadi
        9
Idadi ya Semina na Washa za
Maafisa Ugani zilizofanyika.
MWAKA
2015/16
Idadi
         7

Idadi ya Semina za Muda Mfupi kwa Maafisa Ugani
MWAKA
2015/16
Idadi
6

Idadi ya mafunzo ya Muda Mrefu kwa Maafisa Ugani
MWAKA
2015/16
Idadi
       13

Idadi Vitendea kazi k.m Pikipiki na Baiskeli vilivyogawiwa
MWAKA
2015/16
Pikipiki
5
Baiskeli
-
Idadi ya Vikundi vya Wakulima vilivyotembelewa
MWAKA
2015/16
Idadi
250

Wataalamu,vitendea Kasi,vifaa vya usafiri
Fedha Tshs
100.000,000/=
Kufanya Ziara za Mafunzo kwa Maafisa Ugani.
Kuendesha Semina na Washa kwa Maafisa Ugani.



Kutoa Mafunzo ya Muda Mfupi kwa Maafisa Ugani.
Kutoa Mafunzo ya Muda Mrefu kwa Maafisa Ugani.




Kutoa Vitendea kazi k.m Pikipiki na Baiskeli ili kuwafikia Wakulima wengi.
Kutembelea vikundi vya wakulima
Jamii, Halmashauri,Serikali kuu,Wadau wa Kilimo
Miaka 3
Idadi ya Ziara za Mafunzo zilizofanyika.
Idadi ya Semina na Washa za Maafisa Ugani zilizofanyika.

Idadi ya Semina za Muda Mfupi kwa Maafisa Ugani
Idadi ya waliopata mafunzo ya Muda Mrefu kwa Maafisa Ugani

Idadi Vitendea kazi k.m Pikipiki na Baiskeli vilivyogawiwa.
Idadi ya Vikundi vya Wakulima vilivyotembelewa.
5
Kuendeleza na kuzingatia ufugaji bora kwa kujenga malambo 2 na mabirika 5 katika vijiji  viwili vya wafugaji ifikapo Juni 30,2016  .

Eneo la nyanda za malisho lililotengwa.
Mwaka
2011/12
Idadi ya maeneo
          3

Idadi ya malambo na mabirika ya kunywea maji yaliyojengwa.
Mwaka
2011/12
Idadi  ya malambo
     -
Idadi ya mabirika
     3
Idadi ya ng’ombe waliokingwa  (000).
Mwaka
2011/12
Idadi
80
Idadi ya mbuzi/kondoo waliokingwa (000)
Mwaka
2011/12
Na.
90
Idadi ya kuku waliokingwa (000)
Mwaka
2011/12
Idadi
  220
Eneo la nyanda za malisho lililotengwa.
Mwaka
2015/16
Idadi ya maeneo.
       6
Idadi ya malambo na mabirika ya kunywea maji yatakayojengwa.
Mwaka
2015/16
Idadi  ya malambo
-
Idadi ya mabirika
5
Idadi ya ng’ombe waliokingwa (000).,,
Mwaka
2015/16
Na.
100
Idadi  ya mbuzi waliokingwa (000)
Mwaka
2015/16
Na.
110

Namba ya kuku waliokingwa (000)
Mwaka
2015/16
Idadi
300
Wataalamu,
Fedha Tshs 900,000,000/=

Kutenga na kuendeleza nyanda za malisho




Kujenga
Malambo na mabirika ya kunywea maji.


Kukinga mifugo dhidi ya magonjwa hatari kwa njia ya chanjo
Jamii, Halmashauri,Serikali kuu,Wadau wa maendeleo ya mifugo
Miaka 3
Maeneo ya nyanda za malisho yaliyotengwa.




Idadi ya malambo na mabirika yaliyojengwa



Idadi ya mifugo iliyochanjwa















6. Kuongeza uzalishaji wa maziwa kutoka lita 8/ng’ombe chotara na lita 10 kwa situ kwa ng,ombe wa kisasa hadi lita12 na 18 kwa ng,ombe/siku ifikapo Juni 30, 2016


Idadi ya vituo vya kukusanya maziwa
Mwaka
2011/12
Na
 37

Idadi ya wataalam watakaopata elimu ya uhamilishaji.
Mwaka
2011/12
Idadi
  28

Idadi ya vituo vya kukusanya maziwa na kutoa
huduma ya uhamilishaji
Mwaka
2015/16
Na
 55
Idadi ya wataalam watakaopata elimuya uhamilishaji.
Mwaka
2015/2016
Idadi
       50

Wataalamu,
Fedha
Tshs 180,000,000/=

Kujenga vituo vya uhamilishaji na kukusanyia maziwa



Kutoa mafunzo ya uhamilishaji kwa maafisa ugani walio vijijini.

Jamii, Halmashauri,Serikali kuu,Wadau wa maendeleo ya mifugo

Miaka 3

Idadi ya vituo vilivyojengwa kwa mwaka


Idadi ya wataalamu waliopewa mafunzo ya uhamilishaji


JEDWALI LA MIKAKATI YA ELIMU YA MSINGI
SN
KIPAUMBELE
HALI HALISI
LENGO/
MADHUMUNI
MAHITAJI YA RASIMALI
MKAKATI WA UTEKELEZAJI
CHANZO CHA RASILIMALI INAYOHITAJIKA
MUDA WA UTEKELEZAJI
MATOKEO YANAYOTA
RAJIWA
1
Kuongeza Vyumba vya Madarasa vya Elimu ya Awali.
Vipo vyumba 33 vya Elimu ya Awali
Ø      Kujenga vyumba vinne kila mwaka.

Tsh 48,000,000/=
Ø      Kuandaa andiko Mradi.
Ø      Kuhamasisha wadau wa Elimu kuchangia ujenzi huo.
Serikali na Jamii.
Miaka mitatu
Kuongezeka kwa kiwango cha uandikishaji wa watoto wa awali.
2
Ununuzi wa vitabu vya kiada na ziada kupunguza uwiano wa kitabu kwa mwanafunzi kufikia uwiano wa 1:2.
Vipo jumla ya vitabu 6,718 vya masomo yote yanayofundishwa shule za msingi.
Kupunguza uwiano wa kitabu kwa mwanafunzi kutoka 1:4 kufikia 1:2 ifikapo 2015.

Shs 173,180,000
Ø      Kutumia fedha za Capitation kifungu cha Vitabu ipasavyo.

Ruzuku.
Miaka mitatu
Kuongezeka kwa kiwango cha ufaulu wa wanafunzi.
3
Kuboresha michezo shuleni.
Shule 27 zina viwanja vya michezo.
Ø      Kununua vifaa vya michezo kwa kila shule.
Ø      Kupima viwanja mbalimbali kwa shule 15 kila mwaka.

Shs. 30,000,000/=
Ø      Kuhamasisha jamii kutoa maeneo ya viwanja
Ø      Kupima viwanja.
Serikali.
Miaka mitatu
Kuwepo kwa ongezeko la viwanja 15.
SN
KIPAUMBELE
HALI HALISI
LENGO/
MADHUMUNI
MAHITAJI YA RASIMALI
MKAKATI WA UTEKELEZAJI
CHANZO CHA RASILIMALI INAYOHITAJIKA
MUDA WA UTEKELEZAJI
MATOKEO YANAYOTA
RAJIWA
4
Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa ya Elimu Maalum (Intregrated school)
Vipo vitengo vitano tu katika shule 5.
Ø      Kujenga shule moja (Intregrated school) ifikapo mwaka 2015.
Ø      Kujenga mabweni 2  ya wanafunzi hao ifikapo mwaka 2015.

Shs. 72.000,000/=
Ø      Kuandaa andiko mradi la ujenzi wa shule na mabweni.
Ø      Kuhamasisha wadau mbalimbali wa Elimu.
Ø      Kutenga fedha katika bajeti ya Halmashauri
Serikali na wahisani.
Miaka mitatu
Kuwapa Elimu watoto wenye mahitaji maalum.

5
Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa Elimu ya Msingi.
Vipo vyumba 780 vya madarasa ya Elimu msingi.
Ø      Kujenga vyumba 8 kila mwaka
Ø       Ujenzi wa vyumba 24 ifikapo mwaka 2015.
Shs
60,000,000/=
Ø      Kuhamasisha jamii kushiriki kutoa nguvu na michango yao.

Serikali na jamii
Miaka mitatu
Kupunguza msongamano wa wanafunzi kutoka 55 hadi 40  kwa darasa moja.
6
Ujenzi wa Matundu ya vyoo.
Yapo matundu 1218 (wav. 611 na was 607)
Ø      Kujenga matundu 40 kila mwaka
Ø      Ujenzi wa matundu 120 ifikapo mwaka 2015.
Shs
28,000,000/=
Ø      Kuhamasisha jamii katika kushiriki kutoa nguvu na michango yao


 Jamii na Wahisani.
Miaka mitatu
Kupunguza uwiano wa matundu ya choo na wanafunzi kufikia (wav 1:25 na was 1: 20)









Ø       

Ø       



SN
KIPAUMBELE
HALI HALISI
LENGO/
MADHUMUNI
MAHITAJI YA RASIMALI
MKAKATI WA UTEKELEZAJI
CHANZO CHA RASILIMALI INAYOHITAJIKA
MUDA WA UTEKELEZAJI
MATOKEO YANAYOTA
RAJIWA

7
Ujenzi wa Ofisi za Walimu (Head teacher) na Walimu (Staffs office)
Zipo ofisi za walimu wakuu 88 na za walimu 85.
Ø      Kujenga ofisi 2 za walimu kila mwaka.
Ø      Ujenzi wa ofisi 8 za walimu ifikapo mwaka 2015.                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                              
Shs.
36,000,000/=


Shs.
56,000,000/=
Ø      Kuhamasisha wadau mbalimbali wa Elimu.
Ø      Kutenga fedha kwenye bajeti maendeleo ya   ya Vijiji (CDG).
Jamii na Wahisani
Miaka mitatu
Kuwepo kwa ofisi kwa kila shule kwa walimu wakuu na walimu.
8
Ununuzi wa samani mbalimbali
Zipo meza 1179, kabati 693 na viti 1392.
Ø      Kuhakikisha kila shule ina samani mbalimbali za kutosha.
Ø      Ununuzi wa samani 200 ifikapo mwaka 2015.




Shs.
56,000,000/=

Ø      Kuhamasisha wadau wa Elimu.
Ø      Kutumia fedha za Capitation kifungu cha Ukarabati.
Jamii na Wahisani.
Miaka mitatu
Kuwepo kwa  samani mbalimbali za kutosha kwa kila shule.
9.
Ujenzi wa Vocational Training Centre
Kuna vyuo vya ufundi vya sekta binafsi tu.
Ø      . Kujenga kituo kimoja cha serikali chenye fani zote  ifikapo mwaka 2015


Shs.
55,000,000/=
Ø      Kuandaa andiko Mradi
Ø      Kuhamasisha wadau wa Elimu
Ø      Kutenga fedha kwenye bajeti maendeleo ya   ya Halmashauri
Serikali na Halmashauri
Miaka mitatu
Kuwepo kwa kituo kimoja chenye fani zote za Ufundi.
SN
KIPAUMBELE
HALI HALISI
LENGO/
MADHUMUNI
MAHITAJI YA RASIMALI
MKAKATI WA UTEKELEZAJI
CHANZO CHA RASILIMALI INAYOHITAJIKA
MUDA WA UTEKELEZAJI
MATOKEO YANAYOTA
RAJIWA
10
Uboreshaji wa taaluma katika shule za msingi 104.
Vipo vituo vya walimu vitano tu
Ø      Ukamilishaji wa TRC mbili zenye vitendea kazi vyote  ifikapo mwaka 2015.

Shs
32,000,000/=
Ø      Kutenga fedha kwenye bajeti  ya maendeleo ya   ya Halmashauri.
Ø      Kuandaa andiko mradi la kukamilisha vituo viwili
Serikali
Miaka mitatu
Kukamilika kwa vituo 2 vyenye vitendea kazi .


Walimu 33 wanajiendeleza
Ø      Kuendeleza walimu 70 ifikapo mwaka 2015.

Shs.
17,000,000/=
Ø      Kuhamasisha walimu kujendeleza.
Ø      Kuendelea kuwalipia walimu waliopo mafunzoni nauli.
Ø      Kugharamia posho za vitabu na utafiti
Serikali
Miaka mitatu
Kiwango cha Taaluma kinaongezeka



Ø      Kuboresha uongozi na utawala  wa shule wa Kamati za shule.
Shs
32,000,000/=
Ø      Kutenga fedha za mafunzo kwa wajumbe 550 katika kifungu maalumu.
Serikali
Miaka mitatu
Kuimarisha uongozi na utawala wa shule



Ø      Kuandaa majaribio ya kila mwezi yenye kiwango cha Kitaifa.
Ø      Kuendesha mafunzo ya masomo ya Hisabati, English, na Sayansi.
Ø      Kuongeza kiwango cha ufaulu katika Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi na Mtihani wa Darasa la Nne
Shs  52,000,000/=






Shs  54,600,000/=



Shs  145,200,000/=
Ø      Kuhamasisha wadau wa Elimu kutekeleza malengo yaliyokusudiwa.
Ø      Kuhamasisha wazazi/ jamii katika kushiriki kutoa michango ya kitaaluma shuleni.
Ø      Kuandaa mafunzo kwenye ngazi ya Klasta.
Ø      Kuandaa majaribio ya kila mwezi  kwa masomo matano ya darasa la VII
Serikali   na wadau  wengine.
Miaka mitatu
Kuongeza kiwango cha Ufaulu kutoka asilimia 79.2% kufikia  95%


SEKTA YA ELIMU SEKONDARI

NA.
KIPAUMBELE




HALI HALISI KWA SASA
LENGO/MADHUMUNI



MAHITAJI YA RASILIMALI


MiKAKATI WA KUTEKELEZA

CHANZO CHA RASILIMALI INAYOHITAJIKA

MUDA WA UTEKELEZAJI
MATOKEO YANAYOTARAJIWA
1
Kuongeza Idadi ya madawati kufikia 12761 
Kuna madawati 11,142 kwa shule zote za sekondari za Serikali.
Kununua madawati 1,619 ifikapo mwaka 2015, kwa Kununua madawati 540 kwa kila mwaka.



Tsh.80,950,000/=
Kuelimisha jamii juu ya uchangiaji wa samani na vifaa mbalimbali vya shule.



-Jamii na wadau mbalimbali wa Elimu


Miaka 3

Idadi ya madawati ya wanafunzi kuongezeka na kuwa na uwiano wa 1:1
2
Kuongeza Idadi ya  vyumba vya madarasa
Idadi ya vyumba vya madarasa vilivyopo ni 290.
Ujenzi wa vyumba vya madarasa 12, kwa kujenga vyumba 4 kwa kila mwaka.
Tsh.84,000,000/=
-Kuhimiza jamii pamoja na wadau wengine kuchangia ujenzi wa madarasa.
-kutenga fedha kwenye bajeti ya maendeleo kila mwaka kwa ajili ya ujenzi wa madarasa.
-Jamii
- Ruzuku ya maendeleo
-Wadau wa Elimu.
Miaka 3
-Msongamano wa wanafunzi madarasani utapungua toka 1:55 hadi 1:40











NA.
KIPAUMBELE




HALI HALISI KWA SASA
LENGO/MADHUMUNI



MAHITAJI YA RASILIMALI



MIKAKATI WA KUTEKELEZA
CHANZO CHA RASILIMALI INAYOHITAJIKA
MUDA WA UTEKELEZAJI
MATOKEO YANAYOTARAJIWA
3

Kuongeza Idadi ya matundu ya vyoo
Kwa sasa yapo matundu ya vyoo 420. Wasichana 244 na wavulana 176.
Ujenzi wa matundu ya vyoo 44 kila mwaka ili kufikia matundu 132 ifikapo mwaka 2015.
zinazohitajika ni Tsh.53,138,250/=
-Kuhimiza jamii pamoja na wadau wengine kuchangia ujenzi wa vyoo.
-kutenga fedha kwenye bajeti ya maendeleo kila mwaka kwa ajili ya ujenzi wa vyoo.
-Jamii
-Wadau mbalimbali wa Elimu.
-Ruzuku ya maendeleo
Miaka 3






Kuwa na uwiano wa vyoo unaokubalika wa 1:20 kwa Wasichana na 1:25 kwa wavulana.
4
Ujenzi wa Hostel 10 katika shule za kutwa 5 zilizopendekezwa kuwa na kidato cha 5&6.
Hostel 3 zimeanza kujengwa katika shule 2 kati ya shule 5 zilizopendekezwa kuwa na kidato cha 5&6
Ujenzi wa Hostel 02 kila mwaka hadi ifikapo 2015.
Tshs. 153,396,000/=
-Kushirikisha jamii na wadau mbalimbali wa Elimu kuchangia.
- Kutenga fedha kwenye bajeti ya maendeleo kila mwaka kwa ajili ya ujenzi hostel.
-Jamii
-Wadau mbalimbali wa Elimu.
-Ruzuku ya maendeleo
Miaka 3
-Kuongeza hali ya Ufaulu katika masomo kutoka asilimia  94.5% hadi asilimia  98% ifikapo 2015.

-Kuongeza nafasi za wanafunzi za kujiunga masomo ya Elimu ya juu














NA.
KIPAUMBELE


HALI HALISI KWA SASA
LENGO/MADHUMUNI



MAHITAJI YA RASILIMALI



MIKAKATI WA KUTEKELEZA
CHANZO CHA RASILIMALI INAYOHITAJIKA
MUDA WA UTEKELEZAJI
MATOKEO YANAYOTARAJIWA
5
Ujenzi wa maabara 3 katika kila shule kwa shule27
Kwasasa zipo maabara 4
Kujenga maabara 2 kila mwaka hadi ifikapo mwaka 2015
Tshs. 64,061,333/=
-Kushirikisha jamii na wadau mbalimbali wa Elimu kuchangia.
- Kutenga fedha kwenye bajeti ya maendeleo kila mwaka kwa ajili ya ujenzi wa maabara.
-Jamii
-Wadau mbalimbali wa Elimu.
-Ruzuku ya maendeleo
Miaka 3
-Kuongeza kiwango cha ufaulu katika masomo ya Sayansi.
-Kuongeza Idadi ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha tano kwa michepuo ya Sayansi.
-Kupata wataalam wa fani mbalimbali nchini.
6
Kuongeza Idadi ya nyumba za walimu
Zipo nyumba 82 za walimu katika shule za sekondari za serikali.

Ujenzi wa nyumba moja ya mwalimu kila mwaka katika shule 5 za kutwa zilizopendekezwa kuwa na kidato cha 5&6
Tshs. 43,177,500/=
-Kushirikisha jamii na wadau mbalimbali wa Elimu kuchangia.
-Kutenga fedha kwenye bajeti ya maendeleo kila mwaka kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu.
-Jamii
-Wadau mbalimbali wa Elimu.
-Ruzuku ya maendeleo
Miaka  3
-Kurahisisha utendaji kazi wa walimu.
-Kuwepo kwa uangalizi wa usalama wa wanafunzi na mali za shule.
-Kuboresha Mazingira ya kazi kwa walimu.
7
Uwiano wa wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia kutoka 1:4 hadi 1:2
Vilivyopo ni 7328 vya masomo mbalimbali
Kununua Vitabu  5433  hadi ifikapo 2015
Tsh 46,180,500/=
-Kutumia fedha za uendeshaji wa shule kutoka katika kifungu cha vifaa.
Ruzuku ya maendeleo
Miaka 3
Kupunguza uwiano wa kitabu 1:4 hadi kufikia 1:2


MKAKATI WA KUONGEZA AJIRA KWA VIJANA
NA
SEKTA
KIPAUMBELE
HALI ILIVYO KWA SASA
LENGO
MADHUMUNI
MAHITAJI YA RASILIMALI
GHARAMA
MKAKATI WA UTEKELEZAJI
CHANZO CHA  RASILIMALI
MUDA
WA UTEKELEZAJI
MATOKEAO  YANAYOTAKIWA

VIJANA
Kuimarisha  vikundi 18 vya vijana vya  ujasiriamali na kuanzisha vikundi vingine  28
Mafunzo yametolewa kwa vikundi 11 vya  vijana  vya ujasiriamali na vijana  51 wenye shughuli binafsi wamehamasishwa kujiunga na vikundi
Kutoa mafunzo ya ujasirimali kwa vikundi 46 ifikapo June 2015
- fedha za kuendeleza mafunzo
- fedha za kutoa mikopo kwa vikundi vya ujasiriamali
Million  80
kuhamasisha vijana kila  Kijiji kuunda  vikundi vya ujasiriamali
- Masuala ya  Vijana  yapewe  kipaumbele  katika  mipango ya vijiji na  Kata
Halmashauri kutenga 5% ya mapato ya ndani
- Idara ya  vijana  makao makuu kutuma fedha za  mikopo kwa vikundi vya vijana
Julai
2012 hadi June 2015
Idadi ya vikundi vya ujasiriamali itaongezeka kutoka 18hadi  46 ifikapo 2015
Kupunguza kasi ya vijana kuhamia  mijini kutafuta ajira


















3. Vijana kupata fedha za mikopo kupitia SACCOS na Taasisi nyingine za fedha
§     Mashamba  7  ya wawekezaji wa kilimo cha kahawa wanatoa ajira ya kuchuma kahawa
§     mashamba 5 ya wawekezaji kilimo cha  maua wanatoa ajira ya kuchuma maua na kupakia kwenye boksi kusafirishwa.
§     Vijana wamejiajiri wenyewe katika sekta isiyo  rasmi
-Kilimo ufugaji
 - bodaboda,
- Viwanda vidogovidogo

-      Vijana wanapata fedha za  mikopo kutoka Taasisi zinatotoa fedha
-      NMB
-      CRDB
-      SACCOS
-      SEDA
-      FAIDA
-      BRAC
Kushawishi mashirika yasiyo ya kiserikali,
Taasisi za dini na sekta binafsi zitoe ajira kwa vijana maeneo ya  vijijini














Kushawishi vijana waweke na kukopa katika Taasisi za fedha  ili wapate mitaji ya kuendesha  miradi
- fedha za kununulia mafuta kutembelea  Taasisi na Mashirika yasiyo ya Kiserikali



























Mil 2.5
-Kufanya mikutano na viongozi wa Taasisi za dini Mashirika  yasiyo ya Kiserikali
-Sekta binafsi kuhusu ajira za vijana














Viongozi wa vijiji/ Kata kuhamasisha  na kushawishi vijana kukopa katika Taasisi za fedha  zilizo karibu na vijiji vyao
Mashirika  yasiyo ya Kiserikali
- Mashirika  ya dini
- Sekta binafsi

















Taasisi za fedha
-Halmashauri
Julai 2012
Hadi  June
2015


















Julai 2012
Hadi
2015
Kuongezeka kwa idadi ya vijana walioajiriwa maeneo ya vijijini

















Idadi ya vijana watakaopewa mikopo na Taasisi za fedha  itaongezeka









VIPAUMBELE VYA MAENDELEO YA HALMASHAURI KATIKA SEKTA YA MAJI
NA.
SEKTA
KIPAUMBELE
LENGO/MADHUMUNI
MAHITAJI YA
RASILIMALI
MKAKATI WA
KUTEKELEZAJI
CHANZO CHA
RASILIMALI
MUDA WA
UTEKELEZAJI
MATOKEO
YANAYOTA
RAJIWA
1
MAJI
Kuongeza upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama mjini na vijijini kutoka 82% (2012) hadi 90% ifikapo Juni 30, 2015
Kuwapatia wananchi huduma ya maji safi na salama na ya kutosha kufikia 90%
Fedha Tshs. 1,100,000,000
Gari la usimamizi

Wataalam
Kupanua Skimu ya Lyamungo- Umbwe kufikia vijiji 2



Serikali Kuu - WSDP

Halmashauri

Jamii
Julai 2012 – Juni 2013
Idadi ya Vilula kuongezeka

Idadi ya vijiji vinavyopata huduma kuongezeka
Fedha Tshs. 3,000,000,000
Gari la usimamizi

Wataalam
Kupanua Skimu ya Losaa-KIA hadi vijiji 4
Serikali Kuu - WSDP

Halmashauri

Jamii
Julai 2013 – Juni 2014
Idadi ya Vilula kuongezeka

Idadi ya vijiji vinavyopata huduma kuongezeka
Fedha Tshs. 9,000,000,000
Gari la usimamizi

Wataalam
Kukarabati Skimu ya Uroko-Bomang’ombe
Serikali Kuu - WSDP

Halmashauri

Jamii
Julai 2014 – Juni 2015
Idadi ya Vilula kuongezeka

Idadi ya vijiji vinavyopata huduma kuongezeka
Fedha Tshs. 12,000,000
Gari la usimamizi

Wataalam
Kuelimisha jamii wajibu wao katika utekelezaji, usimamizi na uendeshahi wa miradi yao ya maji
Serikali Kuu - WSDP

Halmashauri

Jamii
Julai 2012 – Juni 2015
Uwezo wa Bodi kujiendesha

Asilimia ya makusanyo ya Ankara kwa mwaka
Fedha Tshs. 30,000,000
Gari la usimamizi

Wataalam
Kuhamasisha jamii kuhusu usafi binafsi, usafi wa mazingira na kujikinga na maabukizi ya UKIMWI
Serikali Kuu - WSDP

Halmashauri

Jamii
Julai 2012 – Juni 2015
Idadi ya vyoo bora ilivyojengwa

Idadi ya Vilabu vya mazingira mashuleni
Fedha Tshs. 15,000,000
Gari la usimamizi

Wataalam
Kuhamasisha jamii kuhusu teknolojia ya kuvuna na kutumia maji ya mvua
Serikali Kuu - WSDP

Halmashauri

Jamii
Julai 2012 – Juni 2015
Idadi ya kaya zilizoelimishwa



UBORESHAJI WA MAZINGIRA


VIPAUMBELE KATIKA IDARA HUSIKA
HALI ILIVYO KWA SASA
MALENGO YALIYOKUSUDIWA
MKAKATI WA KUFIKIA HALI HIYO
VIASHIRIA
GHARAMA / MAHITAJI
Kuwezesha Hifadhi na ulinzi wa misitu na mazingira katika vijiji  na mitaa 60 ifikapo june 2016
Ukataji miti ovyo/usiozingatia sheria na taratibu  na uharibifu / uchafuzi wa mazingira
Kupanda miti 7,500,000 katika maeneo yote yaliyoainishwa ifikapo june 2016
Kuhusisha jamii nzima/wadau katika mchakato na utekelezaji :-
·         kushiriki katika hifadhi na ulinzi wa mazingira ;
·         kuboresha njia za uzalishaji wa miche ya miti na matunda - ongeza idadi ya vitalu, maandalizi ya vitalu miche kwa wakati;

Uwepo wa vitalu vinavyozalisha miche

Miche ya miti ya kupanda kupatikana na kupandwa kwa wakati kila msimu wa mvua
45,730,000/=


Kutoa elimu ya hifadhi ya mazingira na ulinzi endelevu / shirikishi wa miti / misitu katika vijiji 56
Kuhamasisha jamii na makundi husika kuhusu hifadhi ya mazingira na ulinzi wake kupitia mikutano, makanisani, misikiti, na redio boma
Hifadhi na Ulinzi shirikishi kuongezeka kutoka vijiji 29 hadi 56


Idadi ya kesi za kimazingira kupungua polisi na mahakama 9-3

Maeneo ya Kanda za kijani kuboreka kutoka 10 – 16
12,400,000/=


Kusimamia utekelezaji wa sheria mtambuka za mazingira
Kuimarisha doria dhidi ya uharibifu / uchafuzi wa mazingira






Kufufua na kuimarisha kamati za mazingira za vijiji
Idadi ya doria za kitaalam 30 - 40

Idadi ya kesi za uharibifu / uchafuzi
mazingira

Idadi za kamati za mazingira za vijiji  bora
4,064,500/=








6,110,000/=



Kupunguza matumizi yasiyo endelevu ya kuni na mkaa 
Kuhamasisha matumizi endelevu ya nishati mbadala na technologia sahihi na rahisi
Idadi ya kaya, taasisi zinazotumia majiko banifu / sanifu ya mkaa / kuni yanayotumika ya kuni na mkaa; ama nishati mbadala ya biogas, gas, solar &, umeme
2,674,500/=
Kuwezesha uzalishaji na ufungashaji wa mazao  bora ya asali na inta katika vijiji 35 ifikapo juni, 2016.

Uzalishaji  na upatikanaji wa mazao ya nyuki usio na tija
Ufugaji wa nyuki kuongeza uzalishaji wa asali na nta bora na endelevu katika vijiji 35 ifikapo june 2016
Kutoa elimu ya ufugaji nyuki na urinaji asali endelevu kwa jamii



Kuunda vikundi vya wafugaji nyuki


Kuhamasisha uzalishaji na ufungashaji na mazao ya nyuki kisasa



Ongezeko la idadi ya vikundi vya wafuga nyuki 8 - 25

Ongezeko la wafuga nyuki 8-20

Ongezeko lavikundi vinavyofuga nyuki kwenye mizinga ya kisasa inayotumika
15 - 25

Ongezeko la asali  kutoka kgs
4320 - 4670
13,680,000/=





4,120,000/=



11,000,500/=

Kuwezesha uzalishaji wa samaki katika mabwawa na mito katika vijiji 20 ifikapo juni, 2016.

Elimu duni ya uvuvi na ufugaji samaki katika jamii




Uchafuzi wa maji katika mito yenye samaki - trout
Kutoa elimu ya uvuvi na ufugaji samaki katika maeneo yenye maji ya umwagiliaji na mtiririko katika vijiji 20 ifikapo June 2016

Kusimamia sheria ya mazingira
Kuhamasisha maandalizi ya mabwawa kwa ajili ya ufugaji samaki




Kufanya doria katika mito yenye mazalia yenye samaki


Ongezeko la mabwawa ya samaki
7 - 16




Ongezeko la idadi ya doria 6 - 32
6,700,500/=







4,170,000/=

Ulinzi wa wanyamapori, maisha ya watu na mali dhidi ya wanyama wakali na waharibifu wa mazao unaimarishwa katika vijiji 60 ifikapo juni 2016

Elimu duni ya Ulinzi wa wanyamapori, maisha ya watu na mali dhidi ya wanyama wakali na waharibifu wa mazao



Kutoa elimu ya Ulinzi wa wanyamapori, maisha ya watu na mali dhidi ya wanyama wakali na waharibifu wa mazao













Kusimamia sheria ya wanyamapori

Kuhamasisha wananchi juu ya  Ulinzi wa wanyamapori, maisha na mali zao dhidi ya wanyama wakali na waharibifu wa mazao













Kufanya doria dhidi ya wanyamapori/wanyama wakali katika maeneo ya makazi na mashamba

Upungufu wa taarifa za madhara ya wanyama wakali kwa binadamu kutoka 4 hadi 1 ifikapo juni 2016
Upungufu wa taarifa za uharibifu wa mazao /mali kutokana na wanyama pori kutoka 3 hadi 2 ifikapo Juni 2016

Ongezeko la idadi ya doria 2 - 10
3,000,000/=


















8,900,000/=

Kuwezesha utalii wa kiikolojia (Ecotourism) katika vijiji 9 ifikapo juni 2016


Elimu duni ya
utalii wa kiikolojia (Ecotourism)
katika jamii

Kutoa elimu ya  utalii wa kiikolojia (Ecotourism)
katika jamii



Kuhamasisha wananchi juu ya  uanzishwaji wa
utalii wa kiikolojia (Ecotourism)
katika maeneo yao



Ongezeko la watu wanaofanya  utalii wa kiikolojia (Ecotourism) 15-80
- kupatikana chanzo kipya cha mapato ya Halmashauri
5,600.000/=

FEDHA NA BIASHARA: KUONGEZA MAPATO YA HALMASHAURI

SEKTA
KIPAUMBELE
LENGO/MADHUMUNI
MAHITAJI YA RASILIMALI
MKAKATI WA KUTEKELEZA
CHANZO CHA RASILIMALI INAYOHITAJIKA
MUDA WA UTEKELEZAJI
MATOKEO YANAYOTARAJIWA
FEDHA NA BIASHA
RA








Kuongeza mapato ya ndani ya Halmashauri kutoka Tshs 1,000,000,000 kwa mwaka 2012 hadi 1,900,000 ifikapo mwaka 2015.























Kuongeza mapato ya ndani ya Halmashauri kutoka Tshs 1,000,000,000 kwa mwaka 2012 hadi 1,900,000 ifikapo mwaka 2015.

1.      Kuwa na Takwimu sahihi za vianzia vyote vya mapato ya ndani ya Halmashauri


Tshs. 7,020,000
§         Wafanyabiashara wote na aina zote za biashara kuhuishwa
§         Kutoa elimu kwa walipa kodi wote wa Halmashauri.



Halmashauri



Miaka 3
Halmashuri inategemea kuongeza Tshs 200,000,000




2.      Kufanya mapitio ya sheria ndogo za Halmashauri za kukusanyia mapato





Tshs. 2,000,000
§         Kuhakikiaha sheria ndogo za ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri zinaendana na wakati wa sasa

§         Kuhakikisha sheria ndogo zilizotungwa zinatekelezwa kwa kiwango cha juu.








Halmashauri








Miaka 3

§         Kuongezeka kwa mapato

§         Sheria zote za Halmashuri zinatumika kukusanya mapato
§         Halmashauri itaongeza mapato yake kwa Tshs. 100,000,000


3.      Kuibua vianzia vipya vya mapato



Tshs. 2,000,000

Kuanisha vianzia vipya vya mapato kutoka kila sekta (Idara).


Halmashauri


Miaka 3
Vianzia vya mapato vitaongezeka toka 30 vilivyopo sasa hadi 40 ifikapo 2015 na Halmashauri inategemea kukusanya Tshs. 310,000,000
4.      Kuboresha miundo mbinu ya vianzia vya kukusanyia mapato

Tshs. 180,000,000
Kuboresha miundombinu ya masoko ya Mula, Rundugai na Kalali

Halmashauri

Miaka 3
Halmashauri inategemea kukusanya Tshs. 100,000,000


5.      Kuendeleza sera ya ubinafishaji wa vianzia vya mapato vya Halmashauri

§         Halmashauri kuingia ubia na Mamlaka ya Kahawa Tanzania kwa lengo la kuikusanyia Halmashauri mapato yatokanayo na zao la Kahawa.




Halmashauri




Miaka 3
§         Mapato ya zao la kahawa kuongezaka toka Tshs. 52,000,000 kwa sasa hadi Tshs. 180,000,000 ifikapo 2015




6.      Kuunda Kamati maalum ya ufuatiliaji wa mapato ya Halmashauri.







Tshs 4,680,000

§         Kufuatilia ushuru wa maua
§         Kufuatilia wawekezaji wengine waliopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Hai
§         Kufatilia ushuru wa minara ya simu
§         Kufuatilia vianzia vingine vya Halmashauri ambavyo havifanyi vizuri.







Halmashauri







Miaka 3






Halmashauri itaongeza Tshs. 60,000,000

VIPAUMBELE VYA MAENDELEO YA HALMASHAURI KATIKA
KITENGO CHA USTAWI WA JAMII 2011/2012
NA
KIPAUMBELE
HALI HALISI
LENGO
MAHITAJI YA RASILIMALI
MKAKATI WA UTEKELEZAJI
CHANZO CHA RASILIMALI
MUDA WA UTEKELEZAJI
MATOKEO YANAYOTARAJIWA
1
Kuimarisha mifumo na miundo ya ulinzi kwa mtoto katika ngazi ya wilaya
vitendo vya ukatili,unyanyasaji ,udhalilishaji na unyonyaji kwa watoto vimepungua kwa asilimia 50% kwa mwaka 2011/2012.
Kuzuia na kupunguza  vitendo vya ukatili,unyanyasaji ,udhalilishaji na unyonyaji kwa watoto katika ngazi zote kutoka 80%
[2011] mpaka
20% ifikapo  Juni 30 ,2015

           




--
Kutoa elimu ya masuala ya ulinzi kwa mtoto kwa:-
-Jamii.
-Walimu
-Watoa huduma za afya.
-Viongozi wa kata na vijiji/vitongoji.
-Viongozi wa halmashauri ya wilaya.


Kusimamia sheria ya mtoto ya mwaka 2009.
Serikali

Wadau wengine

Wahisani

Jamii




Miaka mitatu
Kupungua kwa vitendo vya ukatili,unyanyasaji ,udhalilishaji na unyonyaji kwa watoto katika ngazi zote.


Elimu ya malezi changamshi kwa watoto walio chini ya umri wa miaka 5 imetolewa kwa  makao ya watoto 9
na vituo vya malezi 49.
Kutoa elimu ya malezi changamshi kwa watoto walio chini ya umri wa miaka 5 katika makao ya watoto na vituo vya malezi ya watoto mchana.
         




--
Kuhamasisha elimu ya malezi changamshi.
Serikali

Jamii
Miaka mitatu
Kuongezeka kwa uelewa kwa wanajamii na wamiliki wa vituo juu ya masuala ya malezi changamshi kwa watoto walio chini ya umri wa miaka 5.


Elimu ya ulinzi kwa mtoto katika vijiji 71 na kata 14 imetolewa.
Kutoa elimu ya ulinzi kwa mtoto katika ngazi ya wilaya.

_
Elimu ya ulinzi kuwekwa kama ajenda ya kudumu katika mikutano/vikao vya kata na vijiji/vitongoji.

Serikali

Jamii
Miaka mitatu
Uelewa umeongezeka juu ya masuala ya ulinzi kwa mtoto kwa wanajamii.


Makao 9 ya watoto yamefuatiliwa na miongozo ya uendeshaji imetolewa.
Kufuatilia na kusimamia makao ya watoto kulingana na taratibu za uendeshaji wa kisheria.

Shilingi

252,000/=
Kutoa miongozo zaidi ya uendeshaji wa makao na msaada wa kiufundi kwa wamiliki.

Serikali

Miaka mitatu
Makao 9 ya watoto kuboresha huduma na miundo mbinu ya uendeshaji.


Vituo vya Rosemine na KICHIJO vimefungiwa.
Kufungia makao ya watoto yanayoendeshwa chini ya viwango.
“          “
Kuwafungulia mashtaka wamiliki wa makao wanaoendesha kinyume na taratibu.
Serikali
Miaka mitatu
Kuendelea kuvifungia vituo ambavyo vitaenda kinyume na utaratibu wa uendeshaji wa makao.


Watoto 162 tayari wameunganishwa na jamii zao.

Kuunganisha watoto waliopo makaoni na waliopotea na jamii zao kutoka 350 [2011] mpaka
80 ifikapo Juni 30,2015.

Shilingi

10,000,000 /=

Kuhahakisha watoto wanalelewa na kutunzwa katika ngazi ya jamii na kupelekwa katika makao iwe ni hatua ya mwisho.

Wahisani

Serikali

Miaka mitatu
Idadi ya watoto wanaorudishwa makwao kuongezeka.


Watoto wamepungua kutoka
4,388 mpaka 4,102 kwa mwaka 2012.
Kupunguza idadi ya WWKMH kutoka 4,388
 [ 2011] mpaka 388 ifikapo Juni 30,2015.


--
Kuhamasisha jamii kuhudumia watoto pasipo kutegemea misaada ya wahisani na serikali.

Jamii

Serikali

Miaka mitatu
Kuendelea kupunguza idadi ya watoto kufikia malengo ya asilimia 90 mpaka ifikapo mwaka 2015.
2
Kuimarisha utoaji wa huduma za ustawi wa jamii na kuboresha mifumo ya kinga kwa jamii.

Huduma zimetolewa kwa watu mbali mbali wenye matatizo ya kifamilia na kijamii.

Kutoa huduma kwa watu mbali mbali katika jamii.
176,400 /=
Kutoa ushauri kwa wanajamii
Jinsi ya kuboresha ngazi ya familia kuepukana na migogoro.

Kusisitiza umuhimu wa kinga kwa jamii.
Serikali
Miaka mitatu
Jamii kuboreka na kupungua kwa matatizo
Yanayohusiana na familia na jamii kwa ujumla.
Mifumo ya kinga jamii kuboreka.
3
Kutoa huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu.
Kuwasimamia watu wenye
ulemavu na kufungua akaunti zao.


Kuwahusisha wazee katika masuala ya kutoa ushauri katika jamii.
Kutoa huduma kwa watu wenye ulemavu na wazee.

             


--
Kusimamia sera na miongozo ya watu wenye ulemavu na wazee ili kuwapatia huduma stahiki.
Serikali
Miaka mitatu
Kuendelea kuongeza utoaji wa huduma kwa wazee na watu wenye ulemavu.

TAARIFA YA VIPAUMBELE VYA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII NA USTAWI WA JAMII
NA
VIPAUMBELE KATIKA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII NA USTAWI WA JAMII
HALI HALISI SASA
MALENGO YALIYOKUSUDIWA
MIKAKATI YA KUFIKIA MALENGO YALIYOKUSUDIWA.
VIASHIRIA
GHARAMA
1.
Kuongeza idadi ya vikundi hai vya kiuchumi vilivyoandikishwa kutoka 268 (2011) hadi 380 ifikapo Juni ,30,2016


Vikundi hai vya kiuchumi :-
MWAKA
2011/2012
IDADI
268
Vikundi hai vya kiuchumi vilivyosajiliwa na vinavyotarajiwa kusajiliwa.
MWAKA
2015/2016
IDADI
380
-Kutoa mafunzo kwa jamii juu ya uundaji wa vikundi vya kiuchumi
-Kutoa mafunzo ya uandikaji miradi ya kiuchumi kwa jamii.
Idadi ya vikundi vitakavyosajiliwa.
9,250,000/=
2.
Kuongeza  idadi ya viongozi wa vijiji wenye uwezo wa kutekeleza sera za maendeleo vijijini kutoka 40 (2011) hadi 125  (2016).
Idadi ya viongozi wa vijiji wenye uwezo wa kutekeleza sera za maendeleo vijijini.
MWAKA
2011/2012
IDADI
40

Idadi ya viongozi wa vijiji watakaokuwa wamepatiwa mafunzo.
MWAKA
2015/2016
IDADI
125
-Kutoa mafunzo juu ya sheria, taratibu na sera mbalimbali za maendeleo vijijini.

Idadi ya viongozi waliopatiwa mafunzo.
5,300,000/=
3
Kupunguza maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI kutoka 2% (2011) hadi 1 % (2016).

Maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI.
MWAKA
2011/2012
IDADI
2%
Kupungua kwa maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI.
MWAKA
2015/2016
IDADI
1%
-Kuelimisha Jamii juu ya madhara ya ngono zembe.
Kuhamasisha makundi rika kutimiza wajibu wao katika kupunguza maambukizi ya VVU kwa kuepuka ngono zembe.
Asilimia  ya maambukizi mapya ya Virusi vya UKIMWI
27,105,000/=
4
Kuongezeza miradi ya WAVIU toka 10 (2011/2012) hadi 56 (2016).

Miradi ya WAVIU.
MWAKA
2011/2012
IDADI
10
Ongezeko la Miradi ya WAVIU.
MWAKA
2015/2016
IDADI
56
Kuhamasisha WAVIU kuunda vikundi vya kiuchumi na kuanzisha miradi midogo midogo.
Idadi ya Miradi ya WAVIU.
15,750,000/=
5
Kuongeza ushirikishwaji wa watoto kwa kuongeza idadi ya mabaraza ya watoto kutoka 10 (2011) hadi 14  (2016).
Mabaraza ya watoto.
MWAKA
2011/2012
IDADI
10
Ongezeko la mabaraza ya watoto.
MWAKA
2015/2016
IDADI
14
Kuimarisha mabaraza yaliyopo na Kuhamasisha uanzishwaji wa mabaraza ya watoto katika kata mpya nne.
Idadi ya mabaraza ya watoto.
8,125,000/=
6
Kuongeza kwa idadi ya wanawake wenye elimu ya juu kutoka 14 (2012) hadi 20(2012).

Idadi ya wanawake wenye elimu ya juu.

MWAKA
2011/2012
IDADI
14
Ongezeko la watumishi wanawake wenye elimu ya juu.
MWAKA
2015/2016
IDADI
20
Kuhamasisha watumishi wanawake kujiunga na elimu ya juu.

Idadi ya watumishi wanawake wenye elimu ya juu.
-
VIPAUMBELE VYA SEKTA YA BARABARA

NA
SEKTA
KIPAUMBELE
LENGO/MADHUMUNI
MAHITAJI YA RASILIMALI
MKAKATI WA UTEKELEZAJI
CHANZO CHA RASILIMALI INAYOHITAJIKA
MUDA WA UTEKELEZAJI
MATOKEO YANAYOTARAJIWA

Barabara
Kuboreshwa kwa huduma za kiuchumi, kijamii pamoja na kuimarisha miundombinu katika uwiano na viwango stahiki.
Mtandao wa barabara za Wilaya unaboreshwa kutoka kilometa 189 za sasa hadi kufikia kilometa 196.1 hadi ifikapo 30 Juni, 2014
Rasilimali Fedha, watu na mitambo
Matengenezo ya kawaida, Matengenezo ya sehemu korofi, Matengenezo ya muda maalum pamoja na ujenzi/ukarabati wa makalavati na madaraja.
Fedha kutoka Mfuko wa Barabara (Road Funds)
Julai 2011 hadi Juni 2014
Mtandao wa barabara za Wilaya kupitika nyakati zote za mwaka.






0 comments:

Post a Comment