WAHARIRI NA WATENDAJI WAKUU WA VYOMBO VYA HABARI WAKUTANA MACHAME

Posted by Arusha by day and by night On 07:52 No comments

Kutoka kushoto ni Kajubi Mukajanga,Dr.Charles Mlingwa,Ndimara Tegambwage,Novatus Makunga na Rashid Kejo
Kutoka Kushoto ni Absolom Kibanda,Kajubi Mukajanga,Dr Charles Mlingwa,Ndimara Tegambwage,Novatus Makunga na Rashid Kejo
Mkuu wa wilaya ya Hai Novatus Makunga akisalimiana na mwandhishi wa habari mkongwe Ndimara Tegambwage
Mkuu wa wilaya ya Hai Novatus Makunga akizungumza katika mkutano wa pamoja kati ya Baraza la Habari Nchini(MCT) na Wahariri wa vyombo vya habari
Mkuu wa wilaya ya Siha Dr Charles Mlingwa akizungumza katika mkutano wa pamoja kati ya Baraza la habari nchini na wahariri wa Vyombo vya habari
Wahariri wa vyombo vya habari na watendaji wakuu wa vyombo vya habari wakifuatilia mkutano
Picha ya pamoja ya wahariri wa vyombo vya habari pamoja na viongozi wa serikali katika wilaya ya Hai na mkoa wa Kilimanjaro
Wahariri wa vyombo vya habari wakisaliamiana na Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga na Mkuu wa wilaya ya Siha,Dr Charles Mlingwa
Sehemu ya wahariri wa vyombo vya habari katika Hotel ya Aishi Protea huko Machame wilayani Hai
Mhariri wa Magazeti ya Mwananchi,Theophil Makunga akizungumza katika mkutano
Mwandishi wa habari mahiri nchini Ndimara Tegambwage akizungumza katika mkutano

Baraza la Habari Tanzania(MCT),Wahariri na watendaji wakuu wa Vyombo vya habari nchni walikutana mwishoni mwa wiki katika hotel ya Aishi Protea iliyop Machame wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro

Kikao hicho cha mashauriano kati ya MCT na Wahariri wa vyombo vya habari umewakutananisha wadau zaidi ya hamsini wa tasnia ya habari na kufanyika kwa siku mbili.

Wadau hao pia walipata fursa ya kutembelea miradi mbalimbali iliyopo katika mkoa wa Kilimanjaro

0 comments:

Post a Comment