HIFADHI ZA TAIFA MPYA MKOANI KAGERA

Posted by Arusha by day and by night On 03:12 No comments

RAIS JOHN MAGUFULI AZINDUA MAGARI 181 YA BOHARI KUU YA MADAWA

Posted by Arusha by day and by night On 05:23 No comments

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongozana na Mwakilishi wa Taasisi ya Global FundLinden Morrison eneo la Bohari kuu ya Madawa (MSD) jijini Dar es salaam leo Machi 26, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimshukuru  Mwakilishi wa Taasisi ya Global Fund Linden Morrison wakati akijaribu moja ya magari  181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) aliyozindua jijini Dar es salaam leo Machi 26, 2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akikagua ghala la dawa   
kwenye hafla ya uzinduzi wa magari 181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) jijini Dar es salaam leo Machi 26, 2018.Pamoja naye ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu, Mwakilishi wa Taasisi yaGlobal Fund Linden Morrison na viongozi wengine.
Sehemu ya  magari 181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) yaliyozinduliwa  jijini Dar es salaam leo Machi 26, 2018. 

RAIS MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA JUMAPILI YA MATAWI

Posted by Arusha by day and by night On 02:00 No comments

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, mkewe Mama Janeth Magufuli na mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa wakiwa wamejumuika na waumini wengine katika Ibada ya Jumapili ya Matawi katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam leo Machi 25, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli akishukuru baada ya kupokea Sakramenti takatibu wakati wa Ibada ya Jumapili ya Matawi katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam leo Machi 25, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, mkewe Mama Janeth Magufuli na mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa wakiwa wamejumuika na waumini wengine katika Ibada ya Jumapili ya Matawi katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam leo Machi 25, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na wananchi baada ya kushiriki Ibada ya Jumapili ya Matawi katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam leo Machi 25, 2018


KARUME LEGACY

Posted by Arusha by day and by night On 01:44 No comments

NEWS BULLETIN 05 06 2017

Posted by Arusha by day and by night On 01:28 No comments

TUONGEE ASUBUHI-UVUVI WA KUTUMIA SUMU

Posted by Arusha by day and by night On 01:25 No comments

TUONGEE ASUBUHI TUZO FULL PRO

Posted by Arusha by day and by night On 01:20 No comments

TUONGEE ASUBUHI SIASA

Posted by Arusha by day and by night On 02:44 No comments

SLAA AAPISHWA KUWA BALOZI WA TANZANIA NCHINI SWEDEN

Posted by Arusha by day and by night On 02:43 No comments

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli,  Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Suzan Kolimba, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, Kamishna wa Maadili katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma  Jaji (Mst) Harold Nsekela na  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi  na maofisa kutokla Wizara ya Mambo ya Nje wakiwa katika picha ya kumbukumbu na  Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Mhe. Muhidin Mboweto na Balozi wa Tanzania nchini Sweden  Dkt. Wilbroad Slaa baada ya mabalozi  hao kula kiapo katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam asubuhi leo Februari 16, 2018   
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimpongeza Mhe. Muhidin Mboweto kuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden  katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam asubuhi leo Februari 16, 2018 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimpongeza  Dkt. Wilbrod Slaa baada ya kumuapisha kuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden  katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam asubuhi leo Februari 16, 2018 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Wilbrod Slaa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden  katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam asubuhi leo Februari 16, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Bw. Muhidin Mboweto kuwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam asubuhi leo Februari 16, 2018

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMUAPISHA LUTENI JENERALI YAKUBU HASSAN MOHAMED KUWA MNADHIMU MKUU WA JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA (JWTZ) IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Posted by Arusha by day and by night On 03:55 No comments





JPM ASHIRIKI IBADA YA MAJIVU ASUBUHI YA LEO

Posted by Arusha by day and by night On 01:11 No comments

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli  akisindikizwa  na  Muadhama Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam  na Padri Venance Tegete baada ya  kujiunga baada ya  ibada ya Jumatano ya Majivu katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam asubuhi ya leo Februari 14, 2018. Picha na IKULU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli  na mkewe Mama Janeth Magufuli  wakiagana na  waumini wenzao baada ya ibada ya Jumatano ya Majivu katika kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es salaam asubuhi ya leo Februari 14, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipakwa majivu pajini wakati wa ibada ya Jumatano ya majivu katika kanisa la mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam asubuhi ya leo Februari 14,2018