SAKATA LA CHATU ANAYEDAIWA KUFUGWA KWA IMANI ZA KISHIRIKIA HUKO SAKINA ARUSHA

Posted by Arusha by day and by night On 02:41 No comments

Mkakati wa kumdhibiti chatu ukiendelea kufanywa na wananchi mbalimbali
Shughuli ya kumuua chati imekamilika

Kazi hiyo ilikamilika kwa kumkata vipande vipande nyoka huyo
Hii ni nyumba ambayo inadaiwa chatu huyo alikuwa akifugwa
Mwananchi mmoja hakuishia katika operesheni ya kuuwa chatu pekee bali aliamua kumbeba kwa mikono huku kundi la wananchi wakimshangaa(Picha zote kwa hisani ya http://dixonbusagaga.blogspot.com)

0 comments:

Post a Comment