NAIBU WAZIRI WA MAJI MHESHIMIWA MAKALLA AKAGUA MIRADI YA MAJI WILAYANI MOSHI

Posted by Arusha by day and by night On 00:44 No comments

Naibu waziri maji Mhe. Amos makalla akipata maelezo ya ujenzi wa tanki la maji mradi wa Boro-Masoka kutoka kwa mhandisi wa maji wa halmashauri ya wilaya ya Moshi injinia Brown Lyimo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji kanda ya Kaskazini. Kulia ni  Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mhe. Novatus Makunga
Naibu Waziri wa  maji   Mhe. Amos makala akikagua chanzo cha maji cha Mananga cha mto Ghona, Himo
Naibu waziri wa maji,Mheshimiwa Amos Makalla akikabidhi tuzo ya ubora wa maji na utunzaji wa maji kwa mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira ya Mjini Moshi(MUWSA) Injinia Cryspin Lumeleja(Mwenye tai),kushoto kwa Naibu waziri ni Kaimu Mkuu wa wilaya ya Moshi Mheshimiwa Novatus Makunga
Naibu wa waziri wa maji,Mheshimiwa Amos Makalla akipata maelezo ya uendeshaji wa mamlaka ya Majisafi na Usafi wa  Mazingira Mjini Moshi(MUWSA),kushoto kwake ni Mkuu wa wilaya mshikizi wa Moshi,Mheshimiwa Novatus Makunga.
Naibu waziri wa maji Mheshimiwa Amosi Makallla akipata maelezo katika chanzo kipya cha Maji cha Mto Karanga


0 comments:

Post a Comment