DC MOSHI AZINDUA BARAZA LA MADIWANI LA MANISPAA YA MOSHI

Posted by Arusha by day and by night On 16:50 No comments










DC MOSHI ATOA SAA 24 KWA MANISPAA YA MOSHI KUMALIZA UZOAJI WA TAKA MJINI

Posted by Arusha by day and by night On 22:50 No comments


Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga akipata maelezo kutoka kwa Afisa wa Manispaa ya Moshi kuhusu uboreshaji wa dampo la kutupia takataka
Kazi ya uzoaji wa takataka ikiendelea kwa kasi katika maeneo mbalimbali ya mji wa Moshi
Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga akitoa agizo kwa Halmasahauri ya Manispaa ya Moshi kuhakikisha ndani ya saa ishirini na nne wanamaliza tatizo la mrundikano wa taka katika masoko na maeneo mengine
 Na Mwandishi Wetu Moshi

Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga ametoa muda wa saa ishirini na nne kwa Halmashauri ya manispaa ya Moshi kuhakikisha inamaliza tatizo la mrundikano wa taka katika maeneo mbalimbali ya mji huo hususani ya masoko.

Mkuu huyo wa wilaya alitoa agizo hilo mwishoni mwa wiki baada ya kufanya ziara ya ghafla katika masoko ya Mbuyuni,Manyema na Pasua pamoja na mitaa na Majengo Mississipi na katika dampo la zamani na la sasa katika eneo la Kaloleni

Makunga alisema kuwa kasi ya uzoaji takakata katika mji huo hairidhishi na hivyo kuuagiza uongozi wa manispaa ya Moshi kuongeza muda wa uondoaji wa takataka hasa katika masoko sambamba na ratiba ya kawaida katika mitaa.

Alisema kuwa tayari mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Amos Makalla alishaagizo kwa wilaya zote kuhakikisha zinadhibiti viashiria vyote vitakavyowezesha mkoa huo kukumbwa na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.

"Kuwepo kwa taka taka hasa katika maeneo ya masoko ni hatari sana katika kipindi hiki ambacho maeneo mbalimbali yamekumbwa na kipindupindu nchini hivyo ni vyema sasa ni lazima tubanane kwa kila mtu katika eneo lake kuhakikisha anatimiza majukumu yake"alisisitiza Makunga.

Aidha Makunga ametaja hatua zingine ambazo zimeshachukuliwa katika kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu kuwa ni pamoja na maofisa watendaji wa kata na mitaa kwa usimamizi wa maofisa tarafa kuanza ukaguzi wa nyumba kwa nyumba,maeneo yanayotoa huduma ya chakula na vinywaji pamoja na baa zikiwemo za pombe za kienyeji.

Alisema ukaguzi huo una lengo la kuhakikisha maeneo hayo yana huduma zinasozingatia misingi ya afya bora zikiwemo za vyoo bora na usafi kwa ujumla na akasisitiza kuwa serikali haitasita kuyafunga maeneo ambayo hayakidhi mahitaji na ambayo ni hatarishi kwa afya ya watumiaji

Ugonjwa wa kipindupindu tayari umelipuka katika mikoa mbalimbali ambapo kwa kanda ya kaskazini umezuka katika mikoa jirani ya Arusha na Tanga.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Amos Makalla mapema wiki iliyopita alitoa agizo kwa viongozi wa ngazimbalimbali mkoani humo kuhakikisha ugonjwa huo hauingia katika mkoa wake

CCM YAZINDUKA KWA KISHINDO KAMPENI ZA UBUNGE MOSHI MJINI

Posted by Arusha by day and by night On 03:58 1 comment

Mgombea wa Ubunge jimbo la Moshi Mjini kwa Tiketi ya CCM,Davis Mosha akiomba kura kwa maelfu ya wananchi waliohudhuria uzinduzi wa kampeni za ubunge katika jimbo hilo zilizofanyika katika Uwanja wa mashujaa
Sehemu ya Umati uliohudhuria uzinduzi wa kampeni za Ubunge kupitia CCM jimbo la Moshi katika Uwanja wa Mashujaa jana jioni.

Umati wa wananchi wa Moshi walioshiriki katika uzinduzi wa kampeni za ubunge jimbo la Moshi mjini

Katibu Mkuu wa CCM,Mheshimiwa Abdulrhaman Kinana Akimwombea kura mgombea wa CCM katika Jimbo la Moshi Mjini,Davis Mosha wakati wa uzinduzi wa kampeni za ubunge jimbo hilo jana jioni katika uwanja wa Mashujaa

Umati wa wakazi wa Moshi wakifuatilia uzinduzi wa kampeni za ubunge katika jimbo la Moshi Mjini

Viongozi mbalimbali wa CCM na wagombea wa Ubunge katika majimbo ya Mkoani Kilimanjaro wakifuatilia mkutano wa uzinduzi katika jimbo la Moshi Mjini

Baadhi ya akinamama makada wa CCM waliohudhuria uzinduzi wa kampeni za CCM jimbo la Moshi mjini jana katika Uwanja wa Mashujaa

UTEUZI WA WAKUU WA WILAYA FEBRUARI 2015

Posted by Arusha by day and by night On 21:46 No comments


Wakuu wa Wilaya waliofariki dunia


NA JINA WILAYA
1. Capt.(mst)JamesC.Yamungu Serengeti
2. AnnaJ.Magoha Urambo
3 MoshiM.Chang’a Kalambo

Wakuu wa Wilaya
walio pandishwa cheo

Wakuu wa Wilaya wafuatao wamepandishwa cheo kuwa Wakuu wa Mikoa

NA JINA WILAYA MKOAALIOPANGIWA
1. JohnVianneyMongela Arusha Kagera
2. AminaJumaMasenza Ilemela Iringa
3 Dkt.IbrahimHamisMsengi Moshi Katavi
4 HalimaOmariDendego Tanga Mtwara
5 DaudiFelixNtibenda Karatu Arusha

Wakuu wa Wilaya waliopangiwa majukumu mengine

Wakuu wa Wilaya ambao uteuzi wao umetenguliwa na watapangiwa kazi nyingine ni hawa wafuatao;

NA. JINA WILAYA
1 Brig.GeneralCosmasKayombo Simanjiro
2 Col.NgemelaElsonLubinga Mlele
3 JumaSolomonMadaha Ludewa
4 MercyEmanuelSilla Mkuranga
5 AhmedRamadhanKipozi Bagamoyo
6 MrishoGambo Korogwe
7. ElinasAnaelPallangyo Rombo

Wakuu wa Wilaya Wanaotenguliwa

Wakuu wa Wilaya ambao uteuzi wao umetenguliwa kutokana na sababu za umri, kiafya na nyinginezo na vituo vyao ni kama inavyoonekana hapa chini:

NA JINA WILAYA
1. JamesKisotaOleMillya Longido
2. EliasWawaLali Ngorongoro
3. AlfredErnestMsovella Kongwa
4. DanyBeatusMakanga Kasulu
5. FatmaLosindiloKimario Kisarawe
6. ElibarikiEmanuelKingu Igunga
7. Dr.LeticiaMosesWarioba Iringa
8 EvaristaNjilokiroKalalu Mufindi
9. AbihudiMsimediSaideya Momba
10. MarthaJachiUmbula Kiteto
11 KhalidJumaMandia Babati
12 EliasiGoroiBoeBoeGoroi Rorya

Wakuu wa Wilaya wapya walioteuliwa

Wakuu wa Wilaya wapya walioteuliwa na Wilaya zao niwafuatao;
NA. JINA JINSI WILAYA
1. MariamRamadhaniMtima KE Ruangwa
2. Dkt.JasmineB.Tiisike KE Mpwapwa
3. PololetiMgema ME Nachingwea

NA. JINA JINSI WILAYA
4. FadhiliNkurlu ME Misenyi
5. FelixJacksonLyaniva ME Rorya
6. FredrickWilfredMwakalebela ME Wanging’ombe
7. ZainabRajabMbussi KE Rungwe
8. FrancisK.Mwonga ME Bahi
9. Col.Kimiang’ombeSamwel
Nzoka
ME Kiteto
10. HusnaRajabMsangi KE Handeni
11. EmmanuelJumanneUhaula ME Tandahimba
12. MboniMhita KE Mufindi
13. HashimS.Mngandilwa ME Ngorongoro
14. MariamM.Juma KE Lushoto
15. TheaMedardNtara KE Kyela
16. AhmadH.Nammohe ME Mbozi
17. ShabanKissu ME Kondoa
18. ZeloteStephen ME Musoma
19. PiliMoshi KE Kwimba
20. MahmoudA.Kambona ME Simanjiro
21. GloriusBernardLuoga ME Tarime
22. ZainabR.Telack KE Sengerema
23. BernardNduta ME Masasi
24. ZuhuraMustafaAlly KE Uyui
25. PauloMakonda ME Kinondoni

NA. JINA JINSI WILAYA
26. MwajumaNyiruka KE Misungwi
27. MaftahAllyMohamed ME Serengeti

Wakuu wa Wilaya waliobadilishwa Vituo

Wakuu wa Wilaya wafuatao wamebadilishwa vituo vya kazi kama ifuatavyo;
NA JINA JINSIA WILAYA
ATOKAYO
WILAYA
AENDAYO
1. NyerembeDeusdeditMunasa ME Arumeru Mbeya
2 JordanMungireObadiaRugimbana ME Kinondoni Morogoro
3 FatmaSalumAlly KE Chamwino Mtwara
4 LephyBenjaminiGembe ME DodomaMjini Kilombero
5 ChristopherRyobaKangoye ME Mpwapwa Arusha
6 OmarShabanKwaang’ ME Kondoa Karatu
7 FrancisIsackMtinga ME Chemba Muleba
8 ElizabethChalamilaMkwasa KE Bahi Dodoma
9 AgnesEliasHokororo(Mb) KE Ruangwa Namtumbo
10 ReginaReginaldChonjo KE Nachingwea Pangani
11 HusnaMwilima KE Mbogwe Arumeru
12 GeraldJohnGuninita ME Kilolo Kasulu
13 BiZipporahLyonPangani KE Bukoba Igunga
14 Col.IssaSuleimaniNjiku ME Missenyi Mlele

NA JINA JINSIA WILAYA
16 Bw.RichardMbeho ME Biharamulo Momba
17 Bw.LembrisMarangushiKipuyo ME Muleba Rombo
18 RamadhaniAthumanManeno ME Kigoma Chemba
19 VenanceMethusalahMwamoto ME Kibondo Kaliua
20 GishuliMbegesiCharles ME Buhigwe Ikungi
21 NovatusMakunga ME Hai Moshi
21 AnatoryKisaziChoya ME Mbulu Ludewa
22 ChristineSolomoniMndeme KE Hanang’ Ulanga
23 JacksonWilliamMusome ME Musoma Bukoba
24 JohnBenedictHenjewele ME Tarime Kilosa
25 Dkt.NormanAdamsonSigalla ME Mbeya Songea
26 Dr.MichaelYuniaKadeghe ME Mbozi Mbulu
27 CrispinTheobaldMeela ME Rungwe Babati
28 MagrethEsterMalenga KE Kyela Nyasa
29 SaidAliAmanzi ME Morogoro Singida
30 AntonyJohnMtaka ME Mvomero Hai
31 EliasChoroJohnTarimo ME Kilosa Biharamulo
32 FrancisCryspinMiti ME Ulanga Hanang’
33 HassanEliasMasala ME Kilombero Kibondo

NA JINA JINSIA WILAYA
34 AngelinaLubaloMabula KE Butiama Iringa
35 FaridaSalumMgomi KE Masasi Chamwino
36 WilmanKapenjamaNdile ME Mtwara Kalambo
37 PonsianDamianoNyami ME Tandahimba Bariadi
38 MariamSefuLugaila KE Misungwi Mbogwe
39 MaryTeshaOnesmo KE Ukerewe Buhigwe
40 KarenKemilembeYunus KE Sengerema Magu
41 JosephineRabbyMatiro KE Makete Shinyanga
42 JosephJosephMkirikiti ME Songea Ukerewe
43 AbdulaSuleimanLutavi ME Namtumbo Tanga
44 ErnestNg’wendaKahindi ME Nyasa Longido
45 AnnaRoseNdayishimaNyamubi KE Shinyanga Butiama
46 RosemaryKashindiKirigini
(Mb)
KE Meatu Maswa
47 AbdallahAliKihato ME Maswa Mkuranga
48 ErastoYohanaSima ME Bariadi Meatu
49 QueenMwanshingaMulozi KE Singida Urambo
50 YahyaEsmailNawanda ME Iramba Lindi
51 ManjuSalumMsambya ME Ikungi Ilemela
52 SaveliMangasaneMaketta ME Kaliua Kigoma
53 BituniAbdulrahmanMsangi KE Nzega Kongwa
54 LucyThomasMayenga KE Uyui Iramba

NA JINA JINSIA WILAYA





55 MajidHemedMwanga ME Lushoto Bagamoyo
56 MuhingoRweyemamu ME Handeni Makete
57 HafsaMahinyaMtasiwa KE Pangani Korogwe
58 Dr.NasoroAliHamidi ME Lindi Mafia
59 FestoShemuKiswaga ME Nanyumbu Mvomero
60 SaudaSalumMtondoo KE Mafia Nanyumbu
61 SelemanMzeeSeleman ME Kwimba Kilolo
62 EsterinaJulioKilasi KE Wanging’o
mbe
Muheza
63 SubiraHamisMgalu KE Muheza Kisarawe
64 JacquelineJonathanLiana KE Magu Nzega

Wakuu wa Wilaya wanaobaki katika vituo vyao vya sasa

Wakuu wa Wilaya wafuatao wanaendelea kubaki katika vituo vyao vya sasa;
NA JINA JINSIA WILAYA
1 JowikaWilsonKasunga ME Monduli
2 RaymondHieronimiMushi ME Ilala
3 SophiaEdwardMjema KE Temeke
4 Bw.AmaniKiungaduaMwenegoha ME Bukombe
5 Bw.IbrahimWankangaMarwa ME Nyang’wale
6 Bw.RodrickLazaroMpogolo ME Chato
7 Bw.ManzieOmarMangochie ME Geita
8 Bi.DarryIbrahimRwegasira KE Karagwe
9 Lt.Col.BenedictKulikilaKitenga ME Kyerwa
10 ConstantineJohnKanyasu ME Ngara
11 PazaTusamaleMwamulima ME Mpanda
12 PeterToimaKiroya ME Kakonko
13 HadijaRashidNyembo KE Uvinza
14 Dkt.CharlesO.Mlingwa ME Siha
15 ShaibuIssaNdemanga ME Mwanga
16 HermanClementKapufi ME Same
17 EphraimMfingiMbaga ME Liwale
18 AbdallahHamisUlega ME Kilwa
19 JoshuaChachaMirumbe ME Bunda
20 DeodatusLucasKinawiro ME Chunya
21 RosemaryStakiSenyamule KE Ileje
22 GulamhuseinKifuShaban ME Mbarali
23 ChristopherEdwardMagala ME Newala
24 BarakaMbikeKonisaga ME Nyamagana
25 SarahPhilipDumba KE Njombe
26 HanifaMahmoudKaramagi KE Gairo
27 HalimaMezaKihemba KE Kibaha
28 NurdinBabu ME Rufiji
29 MathewSarjaSedoyeka ME Sumbawanga
30 IddHassanKimanta ME Nkasi
31 ChandeBakariNalicho ME Tunduru
32 BibiSenyiSimonNgaga KE Mbinga
33 WilsonElishaNkambaku ME Kishapu
34 BensonMwailugulaMpesya ME Kahama
35 PaulChrisantMzindakaya ME Busega
36 GeorginaEliasBundala KE Itilima
37 FatumaHassanToufiq KE Manyoni
38 Lt.EdwardOleLenga ME Mkalama
39 HanifaMohamedSelengu KE Sikonge
40 SulemanOmarKumchaya ME Tabora
41 MboniMwanahamisMgaza KE Mkinga
42 SelemanSalumLiwowa ME Kilindi

Mabadiliko haya yameanza tarehe 18.02.2015 na ninawatakia wote utendaji kazi mahiri.


Mizengo K. P. Pinda
18.02.2015
WAZIRI MKUU