UJENZI WA MAABARA ZA MASOMO YA SAYANSI UNAENDELEA KWA KASI WILAYANI HAI

Posted by Arusha by day and by night On 06:29 No comments

Mkuu wa wilaya ya Hai akikagua ujenzi wa maabara ya masomo ya sayansi katika shule ya Sekondari ya Lyasikika

Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga akikagua ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari ya Maili sita

Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga akipata maelezo ya umaliziaji wa maabara ya masomo ya sayansi

Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga akiangalia ubora wa moja ya beseni katika maabara ya masomo ya sayansi

Moja kati ya majengo ya maabara za sayansi katika wilaya ya Hai


Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga katika moja ya vyumba vya maabara vinavyoendelea kujengwa wilayani mwake


0 comments:

Post a Comment