HIFADHI ZA TAIFA MPYA MKOANI KAGERA

Posted by Arusha by day and by night On 03:12 No comments

RAIS JOHN MAGUFULI AZINDUA MAGARI 181 YA BOHARI KUU YA MADAWA

Posted by Arusha by day and by night On 05:23 No comments

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongozana na Mwakilishi wa Taasisi ya Global FundLinden Morrison eneo la Bohari kuu ya Madawa (MSD) jijini Dar es salaam leo Machi 26, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimshukuru  Mwakilishi wa Taasisi ya Global Fund Linden Morrison wakati akijaribu moja ya magari  181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) aliyozindua jijini Dar es salaam leo Machi 26, 2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akikagua ghala la dawa   
kwenye hafla ya uzinduzi wa magari 181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) jijini Dar es salaam leo Machi 26, 2018.Pamoja naye ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu, Mwakilishi wa Taasisi yaGlobal Fund Linden Morrison na viongozi wengine.
Sehemu ya  magari 181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) yaliyozinduliwa  jijini Dar es salaam leo Machi 26, 2018. 

RAIS MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA JUMAPILI YA MATAWI

Posted by Arusha by day and by night On 02:00 No comments

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, mkewe Mama Janeth Magufuli na mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa wakiwa wamejumuika na waumini wengine katika Ibada ya Jumapili ya Matawi katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam leo Machi 25, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli akishukuru baada ya kupokea Sakramenti takatibu wakati wa Ibada ya Jumapili ya Matawi katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam leo Machi 25, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, mkewe Mama Janeth Magufuli na mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa wakiwa wamejumuika na waumini wengine katika Ibada ya Jumapili ya Matawi katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam leo Machi 25, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na wananchi baada ya kushiriki Ibada ya Jumapili ya Matawi katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam leo Machi 25, 2018


KARUME LEGACY

Posted by Arusha by day and by night On 01:44 No comments

NEWS BULLETIN 05 06 2017

Posted by Arusha by day and by night On 01:28 No comments

TUONGEE ASUBUHI-UVUVI WA KUTUMIA SUMU

Posted by Arusha by day and by night On 01:25 No comments

TUONGEE ASUBUHI TUZO FULL PRO

Posted by Arusha by day and by night On 01:20 No comments