HAI YAWEKA MKAKATI WA KUPAMBANA NA UGONJWA HATARI WA MAHINDI

Posted by MK On 01:10 No comments

 Mtaalamu mtafiti wa kilimo kutoka kituo cha utafiti wa kilimo cha Selian Dkt Peter Matowo akionyesha moja ya mmea wa mahindi uliothiriwa na ugonjwa mpya unaoshambulia mahindi unaofahamika kama Lethal Necrosis Disease}
 Mtafiti wa Kilimo Bwana Kitenge akionyesha moja ya mmea uliothiriwa na ugonjwa mpya wa Mahindi katika wilaya ya Hai
Mtaalamu wa kilimo akionyesha mahindi yaliyoathiriwa na ugonjwa hatari wa mahindi wakatika wa mkutano wa wadau wa kilimo wilayani Hai

Na Richard Mwangulebe Hai

Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga amewataka viongozi kuanzia ngazi  za vijiji,kata,tarafa mpaka wilayani pamoja na wataalamu wakiwemo maofisa ugani kuhakikisha wanatumia mwezi huu wa mwanzo wa mvua za masika kuwaelimisha wananchi kuhusiana na mbinu za kukabiliana na ugonjwa mpya na  hatari wa mahindi.

Mkuu huyo wa wilaya ametoa agizo hilo wakati anafungua kikao cha dharura cha kuweka mikakati ya kukabiliana na ugonjwa huo kilichowashirikisha watalamu wa kilimo kutoka vituo vya utafiti nchini pamoja na wadau,viongozi wa ngazi mbalimbali,maofisa ugani wa vijiji,viongozi wa dini pamoja na viongozi wa siasa wakiwemo madiwani.

Makunga ameeleza baada ya kikao hicho viongozi wa ngazi ya vijiji wanatakiwa kuitisha mikutano ya vijiji na wale wa kata kukaa katika vikao vya maendeleo ya kata ndani ya wiki mbili ili kuweka mkakati wa kuelimisha wananchi jinsi ya kukabiliana na ugonjwa huo hatari wa mahindi unaofahamika kama Lethal Necrosis Disease

Aidha amewaagiza wataalamu wa ugani kutumia muda wa siku saba kufanya tathimini ya maeneo yao endapo kuna ugonjwa huo na kuwashilisha taarifa hizo katika vikao vya Halmashauri za vijiji na Kamati za maendeleo za kata na baadaye mwisho wa mwezi katika halmashauri ya wilaya ya Hai.

Ameonya kuwa endapo kila mdau atazembea katika kuhakikisha anatimiza wajibu wake kuwepo kwa ugonjwa huo litakuwa janga kubwa kutokana na idadi kubwa ya wananchi katika wilaya hiyo kutegemea zaidi mahindi kwa matumizi ya family,kipato pamoja na malisho ya mifugo

Makunga pia ameitaka halmashauri ya wilaya kuhakikisha inasambaza kwa wingi vipeperushi vinavyohusiana na ugonjwa huo ili elimu iweze kuwafikia wananchi wengi zaidi badala ya kuendelea kubaki navyo katika maofisi.

Awali mtaalamu mtafiti kutoka kituo cha utafiti wa kilimo cha Selian cha Arusha Dk Peter Matowo ameeleza kuwa madhara makubwa ya ugonjwa huo ni pamoja na uharibifu shambani unaoweza kufikia asilimia mia moja kwa mimea kufa na kukosa mavuno,magunzi na punje zilizoathirika kuwa na sumu ya magonjwa hatari ya ukungu kwa binadamu na kutofaa kwa malisho ya mifugo.

Ameeleza kuwa ugonjwa huo unaenezwa na virusi na kwamba hauna tiba wala mbegu kinzani na hivyo njia pekee ya kudhibiti ni kwa wakulima kuzingatia kanuni zinazoshauriwa zikiwemo za kung’oa mara moja mimea iliyoathirika,kupiga dawa za kuua wadudu aina ya thrips,beetles,leafhoppers na aphids waenezao ugonjwa huo,kupanda mazao mara tu mvua zinyeshapo pamoja na kilimo cha mzunguko wa mazao.

Ugojwa huo ulianza nchini Marekani mwaka 1976 na kuingia katika nchi za Kenya mwaka 2011 na Tanzania mwaka 2012 na kuenea katika wilaya za mkoa wa Kilimanjaro,Arusha na Mwanza

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012 KWA WILAYA YA HAI

Posted by MK On 00:57 No comments


                                 
FORM FOUR RESULTS EVALUATION-HAI DISTRICT

GOVERNMENT SCHOOLS:







NAME OF SCHOOL
DIV 1
DIV 11
DIV III
DIV IV
FAILED
REGIONAL POSITION
NATIONAL POSITION
DISTRICT
POSITION
BOMA SEC
0
1
3
27
61
129/277
1176/3392
14
HAI DAY SEC
0
0
5
42
107
167/277
1537/3392
21
HARAMBEE  SEC
0
0
0
20
59
219/277
2066/3392
28
KIA SEC
0
1
1
12
37
160/277
1486/3392
20
KIKAFU SEC
0
0
0
14
24
135/277
1219/3392
17
KISELU SEC
0
0
0
11
79
262/277
2951/3392
36
KYUU SEC
0
0
0
22
57
196/277
1821/3392
25
LEMIRA SEC
1
1
3
16
79
193/277
1784/3392
24
LONGOI SEC
1
0
2
38
121
209/277
1955/3392
26
LUKANI SEC
0
0
1
18
55
223/277
2100/3392
29
LYASIKIKA
0
0
2
16
113
254/277
2738/3392
34
MAILISITA SEC
0
0
1
47
105
176/277
1602/3392
22
MARIRE SEC
0
0
4
12
46
155/277
1445/3392
18
MUKWASA
0
0
1
9
80
265/277
3063/3392
37
NEEMA SEC
0
0
2
16
58
224/277
2108/3392
30
NG’UNI SEC
0
0
3
27
54
126/277
1150/3392
13
NKOKASHU
0
0
3
23
123
245/277
2523/3392
33
NKUU SEC
0
0
0
12
55
255/277
2748/3392
35
NKWAMWASI
0
0
2
12
47
217/277
2038/3392
27
ROO SEC
0
0
3
17
53
159/277
1485/3392
19
RUNDUGAI
0
1
1
39
96
184/277
1699/3392
15
SAWE SEC
0
0
1
23
55
177/277
1632/3392
23
TUMO SEC
0
1
3
22
43
95/277
882/3392
12
TUMONA SEC
0
0
3
18
19
56/277
491/3392
10
UDORO SEC
0
0
0
29
13
09/18
146/747
16
UDURU SEC
0
0
0
11
49
240/277
2421/3392
32
LERAI SEC
N
E
W





TOTAL
2
5
44
553
1688















































PRIVATE SCHOOLS;













NAME OF SCHOOL
DIV I
DIV II
DIV III
DIV IV
FAILED
REGIONAL POSITION
NATIONAL POSITION
DISTRICT
POSITION
BOLOTI
O0
2
11
53
5
33/277
217/3392
06
EDEN GARDEN
3
4
11
58
5
28/277
181/3392
03
KIBOHEHE
W
I
TH
H
E
L
D

KIRUMBIU
0
1
1
6
41
237/277
2394/3392
31
MASAMA
0
2
20
67
6
32/277
209/3392
05
MSUFINI
0
0
5
35
34
59/277
510/3392
11
MUDIO ISLAMIC
1
15
19
30
0
17/277
90/3392
02
NARUMU
0
2
11
52
2
29/277
193/3392
04
NRONGA
2
2
3
21
9
07/18
72/747
08
SHILELA
0
0
5
7
0
05/18
46/747
07
ST. DORCAS
4
13
25
32
15
15/277
78/3392
01
UROKI
1
3
7
36
0
35/277
229/3392
09
WARI
0
0
0
8
28
17/18
523/747
38
TOTAL
11
44
118
405
145











copies
-DC
-DED
-DEO

                         Chairperson HAUSO